siansakala
Member
- Aug 12, 2012
- 75
- 10
Sooory,,,ivi hizi direct cost 77400/=tunalipia benki au tunalipia palepale chuoni kwa mhasibu wa chuo????
jamani mnisaidie
jamani mnisaidie
ndo umekasirika...?mchaga utamjua tuMaajabu yako wapi sasa? Msiwe wavivu, info ziko kila mahali. Kama unaweza kuja hapa jf unashindwaje kutembelea tovuti ya chuo?? Barua toka chuo je haisemi lolote?
ndo maana nimesema SOOORYMaajabu yako wapi sasa? Msiwe wavivu, info ziko kila mahali. Kama unaweza kuja hapa jf unashindwaje kutembelea tovuti ya chuo?? Barua toka chuo je haisemi lolote?
we huoni 77400 tu..kwenu SUA ni sh ngapi????Maajabu yako wapi sasa? Msiwe wavivu, info ziko kila mahali. Kama unaweza kuja hapa jf unashindwaje kutembelea tovuti ya chuo?? Barua toka chuo je haisemi lolote?