FADHILIEJ
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 132
- 18
Wanajf niko hapa arusha leo j.mosi, kuna gari linapita mitaani kuwakaribisha wananchi ofisi za manispaa kwa ajili ya sherehe za kuwapongeza madiwani kukubaliana kufanya kazi pamoja,,
nijuavyo mimi kamati ya akina marando haijatoa taarifa yake juu ya kilichotokea arusha kwa madiwani wake,binafsi sielewi tafsiri ya shughuli hii.
Tusubiri kuona kitakachoendelea.
nijuavyo mimi kamati ya akina marando haijatoa taarifa yake juu ya kilichotokea arusha kwa madiwani wake,binafsi sielewi tafsiri ya shughuli hii.
Tusubiri kuona kitakachoendelea.