Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 11,288
- 19,119
Kuna wakati najaribu kumwelewa Raisi wangu Magufuli ili angalau niendane na kasi yake, lakini karibu kila ninapojaribu kufanya hivyo, ninashindwa kwa 85%. La hivi karibuni ni haya magizo aliyotoa wakati wa uzinduzi wa wilaya ya Kigamboni. Kulingana na taarifa za IPP Magufuli ametoa maelekezo yafuatayo;
Hebu niambieni ndugu zangu, ni mimi tu naona kuna tatizo katika maagizo haya ya Raisi au kweli kuna tatizo?
Hebu niambieni ndugu zangu, ni mimi tu naona kuna tatizo katika maagizo haya ya Raisi au kweli kuna tatizo?