Ustaadh
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 413
- 19
Kama kumbukumbu zangu ni sahihi huwa kuna kitengo cha maafa ambacho kiko chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Tangu tupate janga la mafuriko sijasikia pilikapilika za kitengo hiki. Ningetarajia kuwa kingekuwa msitari wa mbele katika kuongoza/kuratibu shughuli nzima ya kusaidia waathirika wa mafuriko lakini sijasikia chochote. Au kinafanya kazi underground?