Maafa Makubwa yanasubiriwa Ubungo Bus Terminal

Ukitaja mlipuko wa moto wa aina hiyo basi si kwa UBT pekee, fikiria na huku katikati ya jiji kwenye mlundikano wa majengo na miundo mbinu hafifu na uwingi wa wafanyakazi, sijui, labda, Mwenyezi Mungu atuepushie na maafa ya maji bahari ya Hindi.

I do support you completely. Tembelea mitaa ya karuta/Moro na India/Moro utashangaa. Kanakwamba haitoshi wahandisi wanaozijenga nyumba hizi ni wahindi na waafrika wenye elimu isiyo na shahada, pia hutumia mabango ya makontrakta wazoefu kwa gharama ya sh. 1,500,000/= kwa kila orofa inayopandishwa. Wenye mabango hawa ndio huchanganya udongo unaokwenda Chuo cha Aridhi kwa ajili ya kutathiminiwa. Ngoma inakuja pale Tibaijuka anapomwona mkaazi wa manzese na kumsahau jirani yake wa Posta & K'koo. Ambapo kwa ukaribu wa majengo vyumbani ni giza tupu. Au tunasubiri tume yakiisha tokea.
 
Maafa mengine makubwa katika majengo mengi ya Serikali na Mashirikam ya Umma ambayo yamechakaa na hayana lift au lift za kushirikilia ikiwemo:
(i) Pamba House Dsm,
(ii) Jengo la Ushirika - Lumumba Jengo (lililowahi kuungua)
(iii) Mabweni ya UDSM (HAll, 1, 2, 6 & 5)
(iv) Nyumba za NHC za City Centre nk
 
we mwehu nini upana wote ule wa mageti kweli kutokee maafa

Ficha upumbavu wako..... ikiwa huna cha kuchangia ama hujui chochote kuhusu majanga (Risks) nenda jukwaa la wakubwa ukachangia huko. La waache great thinker wachangie.

Nadhani wewe ni mmoja wa wale kila kukicha mnaunda tume kuchunguza chanzo cha majanga yanayogharimu maisha na mali za watu kila kukicha badala ya kutafiti na kuyadhibiti kabla ya kutokea (Risks (exposure) identification, assessment and management).

Shame on you...........
 
Back
Top Bottom