Zaidi ya laki tatu na inadaiwa 1994 waliuawa watu milioni moja,kwa hiyo laki Saba waliouawa hawakuwa watusi.. walikuwa nani na waliuawa na nani!?Watutsi genocide survivor ni zaidi ya 300,000 vipi.
Zaidi ya laki tatu na inadaiwa 1994 waliuawa watu milioni moja,kwa hiyo laki Saba waliouawa hawakuwa watusi.. walikuwa nani na waliuawa na nani!?Watutsi genocide survivor ni zaidi ya 300,000 vipi.
Hili jambo binafsi sikubaliani nalo. Hai guarantee amani na utulivu. Mfano hai ni SudanMimi naunga mkono Kujitenga kwa Nord Kivu, kuwa nchi kamili.
Nani anaongoza movement ya kudai North Kivu?Mimi naunga mkono Kujitenga kwa Nord Kivu, kuwa nchi kamili.
UN pia walitoa mapping report 2010 iliyosema watu zaidi ya milioni 6 waliuwawa DRC, mhusika mkuu akiwa Rwanda hapo unasemaje?Acha uongo, mwambie Felix aache genocide ya Watusi. Makabuli mangapi ya halaiki yamegundulika huko kivu.? UN wameshatoa report.
Kaka kama ulikaa kigali kipindi hiko baada ya watusi kuchukua madaraka!!!Kulikua na ulipizaji kisasi wa hali ya juu ila kimya kimya!!!Maana wahutu waliua watusi kinyama na RPF waliua wahutu kinyama kulipiza kisasi!!!Kwao kila kijana wa kihutu ni intarehamwe mpaka leoACHANA nae hajui
1996
Vile vile RPF hawakuacha mauaji yao ya kulipiza kisasi kwa wahutu wa DRC na Rwanda until now!!!Baada ya FDLR kufurushwa Rwanda na kukimbilia Congo DRC. Wakaaendeleza ujinga wa kuwaua watusi.
UN pia walitoa mapping report 2010 iliyosema watu zaidi ya milioni 6 waliuwawa DRC, mhusika mkuu akiwa Rwanda hapo unasemaje?
Achana UN kaka nakupa uhalisia!!!Wote watusi na wahutu wote washenzi tu wanauana na kulipizana visasi!!!!UN wanabase upande mmoja Mkuu!!