M/kiti Chadema mkoa wa Morogoro naye kung'olewa kama Katibu wake Sep 03.

Nilikua najiuliza juu ya huu mkoa wa morogoro viongoz wa CHADEMA wanafanya kaz gan?
 
Tafadhari tunaomba tuwekewe picha yake, CV yake, alipataje hiyo nafasi, mwelekeo wake kisiasa, mazuri yake nk. ili tuweze kujadili kwa upeo zaidi.
 
Nakubaliana na wewe mkuu, wengi wa hao VYASAKA ni wafuasi wa kundi la Zitto inabidi washughulikiwe mapema kabla mambo hayajaharibika meku.

Nukyesuko nacho kyasaka wewe umeingia ndani kabisa ya lugha ya watu au we mwenyewe kasikazini type?
 
Sidhani kama tuhuma hizi ni za ukweli kiasi cha kutosha kumng'oa Susan Kiwanga katika nafasi yake ya mwenyekiti mkoa.
Kitu kimoja muhimu sana watu wajue kwamba kiongozi wa chadema si mfadhili kwamba kila shughuli ya chama anatoa fedha pekee kuiwezesha. Shughuli za chama ikiwa ni pamoja na ofisi za chama na matumizi mengine kama gharama za kuendesha mikutano na mambo mengine yanachangiwa na kugharimiwa na wanachama wote.
Sasa kama kuna mtu aliingia kwenye uongozi akitarajia kwamba kwakuwa kuna wabunge kwenye safu na kutaka kumgeuza mfadhili atakuwa anakosea sana.
Tukifika mahali tukawageuza viongozi wetu kuwa wafadhili ni wazi kwamba tutakuwa tunakiua chama kwa kukibinafsisha kwa watu wachache.
 
Chadema nayo imeiga mno mfumo wa magamba; sijui ndivyo Katiba ya nchi inavotaka au la. I wish kwa ngazi za mikoa, wilaya, n.k. majina ya hivi vyeo yangebadilishwa. Kwa mfano, Kamanda wa Mkoa, Mnadhimu wa Mkoa, n.k. ingekaa vizuri zaidi. Hamisi Mgeja ni Mwenyekiti, John Guninita ni Mwenyekiti na Chadema nao wana wenyeviti; dah! akili yangu inashindwa kukubali.
 
Huyu mama ana matatizo makubwa sana aliwahi fanya fujo katika kituo changu cha kazi akilazimisha kupewa huduma wa kwanza kisa ye ni mbunge , nilipokuja baini ni mbunge wa CDM nikajua hata kenge humo ndani wamo
 
Uwa namuona Suzan Kiwanga kama mpambanaji...ila simjui kwa undani, ngoja tuone.
 
suzana ni janga ndani ya chadema kwanza watu wamepata tetesi kuwa 2015 atasimamishwa yeye wilaya ya kirombelo watu wamekasilika sana hawataki hata kusikia kwanza hakubaliki ni mbinafsi hatumtaki. kwakweli watu huwa wanamkumbuka sana Rejia Mtema kwanza alikuwa anawapenzi wengi sana ukitaka kuamini hilo angalia kipindi cha msiba wake. chadema nawaomba chonde chonde 2015 atafutwe mtu makini mwenye uchungu na mwenye kupenda mabadiriko ya jimbo na mchi siyo mfitinishi kama Suzana.
 
Sidhani kama tuhuma hizi ni za ukweli kiasi cha kutosha kumng'oa Susan Kiwanga katika nafasi yake ya mwenyekiti mkoa.
Kitu kimoja muhimu sana watu wajue kwamba kiongozi wa chadema si mfadhili kwamba kila shughuli ya chama anatoa fedha pekee kuiwezesha. Shughuli za chama ikiwa ni pamoja na ofisi za chama na matumizi mengine kama gharama za kuendesha mikutano na mambo mengine yanachangiwa na kugharimiwa na wanachama wote.
Sasa kama kuna mtu aliingia kwenye uongozi akitarajia kwamba kwakuwa kuna wabunge kwenye safu na kutaka kumgeuza mfadhili atakuwa anakosea sana.
Tukifika mahali tukawageuza viongozi wetu kuwa wafadhili ni wazi kwamba tutakuwa tunakiua chama kwa kukibinafsisha kwa watu wachache.

Kuna umuhimu gani wa kuwa na Mwenyekiti ambaye hata ameshindwa kupata ofisi ni tatizo hilo.
 
Back
Top Bottom