Lutheran Primary School Moshi ilivyokuwa 1958 na sasa

Gold...
Ikiwa wewe huamini niliyoandika hakuna neno.

Ila kaa ukijua nimesimama kwingi nikikieleza kitabu hiki.

Elewa pia review ya kitabu imechapwa katika Cambridge Journal of African History.

Naamini unaijua University of Cambridge.
Hao Cambridge University, Harvard University, Oxford University, etc, wapo open-minded kuruhusu mitazamo tofauti tofauti ya masuala mbalimbali. Haimaanishi kuwa wao kufanya tathmini ya kitabu chako (review) kwamba ndiyo wamehalalisha au ku endorse maudhui yaliyomo kitabuni. MS, ni ajabu sana leo hii unategemea Wazungu Wakoloni na maadui wa babu zako wakubaliane na mawazo yako. Mitazamo ya Wazungu Waingereza wa Cambridge ndiyo imeishia kuwa tegemeo lako, na siyo mitazamo ya Wasomi Wazawa?
 
Life must have been lovely back then, until you found your talent for ruffling religious sentiments by peddling dubious pseudohistory, and other divisive shenanigans on Islam vs. Christianity, which ultimately became your meal ticket.
The peddlers of bizarre pseudohistory, like Mohamed Said, all share one thing in common...the belief that the truth was either simply forgotten, interpreted incorrectly, or covered up on purpose.

Pseudohistorians lurk on the fringes of mainstream academia, peeking into the home of accepted knowledge during the night and occasionally throwing a rock through the window.

Pseudohistory is the work of intentional revisionism or deluded attempts to desperately prop up beliefs driven by efforts to falsify or skew past events for specific motives like sowing discord and hatred.

Mohamed Said appears to thrive in this...how sad!
 
The peddlers of bizarre pseudohistory, like Mohamed Said, all share one thing in common...the belief that the truth was either simply forgotten, interpreted incorrectly, or covered up on purpose.

Pseudohistorians lurk on the fringes of mainstream academia, peeking into the home of accepted knowledge during the night and occasionally throwing a rock through the window.

Pseudohistory is the work of intentional revisionism or deluded attempts to desperately prop up beliefs driven by efforts to falsify or skew past events for specific motives like sowing discord and hatred.

Mohamed Said appears to thrive in this...how sad!
What's so funny about all this is how MS always seems to rely on the legitimacy of his "scholarly" works by appealing to White European Scholars/ Institutions as a true and proven stamp of approval.
 
Hao Cambridge University, Harvard University, Oxford University, etc, wapo open-minded kuruhusu mitazamo tofauti tofauti ya masuala mbalimbali. Haimaanishi kuwa wao kufanya tathmini ya kitabu chako (review) kwamba ndiyo wamehalalisha au ku endorse maudhui yaliyomo kitabuni. MS, ni ajabu sana leo hii unategemea Wazungu Wakoloni na maadui wa babu zako wakubaliane na mawazo yako. Mitazamo ya Wazungu Waingereza wa Cambridge ndiyo imeishia kuwa tegemeo lako, na siyo mitazamo ya Wasomi Wazawa?
Gold...
Maana ya kufanya rejea kwa Cambridge ni kuwa hawachapi kitabu chini ya viwango.

Halikadhalika ukialikwa kuzungumza katika vyuo mfano wa hivyo basi jua viwango vimetimia.
 
What's so funny about all this is how MS always seems to rely on the legitimacy of his "scholarly" works by appealing to White European Scholars/ Institutions as a true and proven stamp of approval.
Gold...
Kwani wewe huamini viwango vya vyuo hivi?
 
The peddlers of bizarre pseudohistory, like Mohamed Said, all share one thing in common...the belief that the truth was either simply forgotten, interpreted incorrectly, or covered up on purpose.

Pseudohistorians lurk on the fringes of mainstream academia, peeking into the home of accepted knowledge during the night and occasionally throwing a rock through the window.

Pseudohistory is the work of intentional revisionism or deluded attempts to desperately prop up beliefs driven by efforts to falsify or skew past events for specific motives like sowing discord and hatred.

Mohamed Said appears to thrive in this...how sad!
Mag...
Kinakushinda kitu gani kuandika historia unayoona kwako wewe ndiyo sawa?
 
Mzee bila kumtaja babu yake dully siku haijaisha
Mkaza...
Walijaribu kabla yangu kuandika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika bila ya kumtaja Abdul Sykes wala baba yake katika kuundwa kwa African Association na TANU.

Matokeo yake nadhani sote tunayajua.

Tumeandika historia mpya si ya TANU tu bali hata historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
 
Ahsante kwa historia...
Smart...
Hapa ni mahali muhimu sana.

Sikupata kujua kuwa hapa patanifikisha mimi mahali ambapo nitakuja kuthamini darsa za Maalim wangu Sheikh Haruna.

Yote aliyonisomesha nayaona hapa kwa dhahiri yake.

Maalim Haruna alikuwa na staili ya kusomesha kwa kuuliza maswali.

Atauliza, ''Kwa nini hutakiwi kumtukana au kutumia maneno yasiyofaa kwa mtu ambae unafanyanae mnakasha, yaani mjadala?''

Darsa zima tutahangaika kutoa jibu lililo sawa.

Akiona tumekwama atatoa jibu atasema, ''Ulipoanza mjadala umeanza kwa jina la Mwenyezi Mungu na umeomba dua papatikane faida ya elimu katika mjadala huo; sasa ukitukana au ukitoa kejeli na kebehi vipi lile jina la Allah uliloanzanalo?''

Hapo tutakuwa darsa zima tumeelewa.

Maalim Haruna akitufunza anasema, ''Mtu uliyemshinda atakuja na makeke pengine atajifanya yeye ni mjuzi wa nahau nk. nk.

Hapa JF ghafla utamuona mtu anataka kujionyesha kuwa yeye ni bingwa kwa lugha ya Kiingereza sasa haya ndiyo Maalim akitahadharisha kwetu wanafunzi wake.

''Ukiona mtu katumbukia kwenye shimo hilo la kujikweza kwa kujifanya yeye bingwa wa lugha jua tayari ushamshinda kule anapokimbilia katika nahau sasa anatafuta hifadhi.

Huyu keshajivua nguo hadharani kaingia katika mtego wa Iblis aliyelaaniwa kwa kibri chake...''

Nikifika hapa hunyanyua mikono nikaomba dua na kumuombea mwalimu wangu na nikashukuru kwa elimu hii aliyonifunza ambayo hata kwa mbali sikutegemea kama itakuja kuninufaisha.

''Basi akifika hapo huyo mtu kujikweza wewe jishushe kwake akuone mdogo kuliko wadogo.

Allah ameahidi kuwa yeye atawanyanyua wale waliojishusha na atawadhalilisha wenye kujikweza.''

Sikusoma haya Harvard wala Columbia.

Nimesoma kwenye kibaraza cha nyumba kwenye jamvi nami nimekunja miguu.

1648840917749.png

Columbia University, New York
 
Hapana.

Unaudhika vipi kwa kupewa elimu usiyoifahamu?
Mhandisi...
Hili ndilo linalonishangaza mimi.

Mathalan.

Mwalimu kachukua uongozi TAA 1953 lakini haielezwi kauchukua uongozi huo kutoka kwa nani.

Mimi nimeeleza kuwa Mwalimu kachukua uongozi kutoka kwa Abdul Sykes katika uchaguzi uliofanyika Ukumbi wa Arnautoglo.

Uchaguzi ulikuwa wa kuonyesha mikono na Returning Officer alikuwa Dennis Phombeah Mnyasa kutoka Nyasaland na ndiye alikuwa Meneja wa Arnautoglo Hall.

Huyu Phombeah ilipokuja kuundwa TANU 1954 kadi yake ya TANU ikawa no. 5.

Uchaguzi ule ulikuwa mgumu sana kwa kuwa Nyerere hakuna aliyekuwa anamjua anashindana na Abdul Sykes aliyekuwa Act. President na Secretary wa TAA.

Abdul kijana maarufu wa mjini na mtoto wa Kleist Sykes muasisi wa African Association.

Lakini nikaeleza kuwa kulikuwa na mpango kuwa Nyerere lazima ashinde uchaguzi ule kwani hayo ndiyo yalikuwa maamuzi yaliyopitishwa Nansio, Ukerewe nyumbani kwa Hamza Mwapachu na walioshiriki katika kikao hicho ni Mwapachu, Sykes na Ali Mwinyi Tambwe.

Kisa hiki naamini unakifahamu nimekieleza mara nyingi hapa barzani.

Mwalimu katika hotuba yake ya kuaga Diamond Jubilee kasema tu kuwa, "wakanichagua kuwa Rais wao."

Nani waliomchagua hakueleza.

Mimi nimesherehesha kwa kiasi changu hadi kusema kuwa Dennis Phombeah alimfanyia kampeni Nyerere ashinde yeye alikuwa hajui kuwa uchaguzi ule ulikuwa ushapangwa na kamati ya ndani ya TAA kuwa huu ndiyo uchaguzi wa mwisho na 1954 TANU inaundwa na Nyerere ataongoza harakati za kudai uhuru.

Ndugu zangu wanasoma historia hii hasira zinapanda.

Wanasema mimi "mdini" na "mchochezi."

Hawataki kusoma historia ya Ali Mwinyi Tambwe Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.

Hawataki kusoma historia ya Iddi Faiz Mafungo Mweka Hazina wa TANU na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika aliyekuwa mkusanyaji wa fedha za safari ya kwanza UNO 1955.

Prof. Haroub Othman aliposoma kitabu changu historia hii ilimuathiri sana akataka uhakika zaidi na alizungumza na Mwalimu na akazungumza na Ahmed Rashaad Ali rafiki wa Abdul Sykes katika uhai wake.

Prof. Haroub hakughadhibika alihangaika kutafuta ukweli wa yale niliyoandika.
 
Gold...
Kinachokuudhi ni mimi kuandika historia iliyosahihisha historia iliyozoeleka.

Kwa nini hujiulizi kitu gani kiliwafanya waandhishi kuandika historia isiyo ya kweli?
Hivi yeye anayeandika "peddling pseudohistory" mbona haandiki hiyo ya ukweli aliyoithibitisha?
 
The peddlers of bizarre pseudohistory, like Mohamed Said, all share one thing in common...the belief that the truth was either simply forgotten, interpreted incorrectly, or covered up on purpose.

Pseudohistorians lurk on the fringes of mainstream academia, peeking into the home of accepted knowledge during the night and occasionally throwing a rock through the window.

Pseudohistory is the work of intentional revisionism or deluded attempts to desperately prop up beliefs driven by efforts to falsify or skew past events for specific motives like sowing discord and hatred.

Mohamed Said appears to thrive in this...how sad!
Mbona nyinyi hamuandiki hiyo ya ukweli kama kuandika ni rahisi?
 
Hivi yeye anayeandika "peddling pseudohistory" mbona haandiki hiyo ya ukweli aliyoithibitisha?
BM,
Hawezi kuandika.
Ataandika nini?

Matokeo yake ndiyo haya tunayosoma.

Haya ndiyo anayoweza kuandika lakini si historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Angekuwa na uwezo wa kuandika angeshaandika siku nyingi.
 
It’s rather ironic and dumbfounding how the very same ex colonizers your fore fathers fought so much against in your literature have now become your saviors and primary sources of approval for your bogus intellectual efforts.
 
It’s ironic and dumbfounding how the very same ex colonizers your fore fathers fought so much against in your literature have now become your saviors and primary sources of approval for your bogus intellectual efforts.
Acha ujuha wa kupenda lugha za watu,hapo unajiona Cameron wa uingereza,kamsikilize hotuba ya nyerere kwa wazee wa dar es salaam,nyerere mwenyewe
 
Acha ujuha wa kupenda lugha za watu,hapo unajiona Cameron wa uingereza,kamsikilize hotuba ya nyerere kwa wazee wa dar es salaam,nyerere mwenyewe
Kama lugha huelewi, bora tu mwambie MS ajikite kwenye masuala mapana ya Kitaifa hivi sasa, badala ya hadithi na simulizi za Wajomba zake marehemu.
 
Kama lugha huelewi, bora tu mwambie MS ajikite kwenye masuala mapana ya Kitaifa hivi sasa, badala ya hadithi na simulizi za Wajomba zake marehemu.
Gold...
Unajua fika kuwa si hadithi wala si simulizi.

Hilo la "wajomba" unanitukana mimi na wazee wangu si kwa lolote ila kwa kuandika historia ya kweli ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Huu si uungwana.
Ingia kwenye catalogue ya Library of Congress kupata uhakika nini nimeandika.

1648915997837.png

Library of Congress, Washington DC
 
Gold...
Unajua fika kuwa si hadithi wala si simulizi.

Hilo la "wajomba" unanitukana mimi na wazee wangu si kwa lolote ila kwa kuandika historia ya kweli ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Huu si uungwana.
Ingia kwenye catalogue ya Library of Congress kupata uhakika nini nimeandika.

View attachment 2173160
Library of Congress, Washington DC
Ukishindwaga hoja, as far as what you'd come up with next aka Modus Operandi yako tunaijua. You're full of shit. Bull shit.
 
Back
Top Bottom