babuwaloliondo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 378
- 174
Embu tupe effect ya kupatwa huku kwa mwezi kwa capicon
Ktk jina la yeshua, Ebu na tujikubushe The Passion of Christ ya Meri Gibbson umeona wale waisraeli wakitamka neno Jesus? Yahu (Mungu) najua hapendi sifa zake apewe mtu mwingine na ndo maana shetani kawabana makanisani mnasoma neno hamwelewi na matokeo yake hampati yale yaliyo halisi. Nani alikwambieni kuwa Israeli kuna Jina Yesu? Kwa taarifa yako ukifika pale utapewa historia ya mtu aliyeitwa Yeshua. Ila ukienda Roma utakutana na Jina la Yesu. Choka mbaya asante sana kwa kunitambua kama Pepo aliyemsumbua Petro. Lakini ukweli wa Majira unabakia kama Mvumbuzi alivyobainisha ktk Kutoka 12. HaleluYahu!!!!!
Mimi si mtabiri hata sikurithishwa mkoba, ila mnamo julai 16,2000 kupatwa kwa mwezi ktk Mbuzi 24[SUP]o[/SUP]19[SUP]'[/SUP]kuliniharibia future yangu yote hata sasa ndo naanza kusimama. Nilinyooshewa vidole na kila aliyeniona. Nilipoteza kazi na elimu yangu ya digrii pia. Sikuweza kusaidika. si kanisani si kwa akina sangoma. Nilijiuliza sana sana hata nikaanza kufuatia kifungu kimoja kimoja cha biblia kadri nilivyovuviwa. Naikumbuka sana Waamuzi Ya 5:20, Yer 33:20, Zab 19:1-3, Zab 81:1-4, Yoel 3 Mathayo 26 n.k ndipo nilijikita kuangalia kuna nini ktk anga kumbe kuna vitu vingi kama isemavyo Zab 19 (planetary aspects), kwa hiyo niligundua kuwa kumbe past yangu ilikuwa inekunjwa kama karatasi, na nikajifunza jinsi ya kutumia mawe (gems) kuepukana na madhara ya aspects. Kutoka 28:15-30.
Baada ya kuijua siri hii ndipo nikaanza kufanya "remedies" na sasa naanza kusimama dede, kabla nilikuwa nadanganywa tu na wanazuoni oh! funga na utoe sadaka nyingi mara kalete kuku, wapi na wapi , mbingu ilikuwa imepokea hukumu yangu tayari na kuniweka gizani (natural jugdement). Ezekiel 32:7-10 (nyota zako zitiwapo giza na Yahu nani atakuwashia mwanga?) Mat 6:22.
Asanteni
ktk usiku huu unashauriwa usifanye haya: tendo la ndoa, usigombane, usiseme uongo, usile.
Je itakuwa ni total au partial lunar eclips?Kumeshaanza sasa! Chunguzeni mwezi kwa makini kwa upande wa chini ya mwezi!
We upo wapi? angalia kwa chini kagiza flani kamejitokezambona mi sioni dalili yoyote