Nimesoma maoni ya wana JF inanishangaza sana kuona tulivyo na mitazamo finyu sana.
Kwa taarifa biblia inasisitiza sana kuyajua majira. Ndo maana kila mwaka pasaka inaendana ni jumapili ya kwanza ya mbalamwezi baada ya jua kupita "equinox" kati ya tarehe 20/21 March kila mwaka. Kama hili dogo hulijui na lililo dhahili je utazijua siri za CCM na CHADEMA unazozipigia kelele kila siku?
Kwa taarifa yako pasaka ni maagizo ya watu na si maagizo ya biblia. Biblia maagizo yake ni peshaki kuwa siku ya 14 ya mwezi wa kwanza (New moon) na haifati zig-zag. Pia huhitaji PHD ili kujua kuwa anga ni uumbaji wa siku ya nne na ina amri zake. Au revoir!
Kwa taarifa biblia inasisitiza sana kuyajua majira. Ndo maana kila mwaka pasaka inaendana ni jumapili ya kwanza ya mbalamwezi baada ya jua kupita "equinox" kati ya tarehe 20/21 March kila mwaka. Kama hili dogo hulijui na lililo dhahili je utazijua siri za CCM na CHADEMA unazozipigia kelele kila siku?
Kwa taarifa yako pasaka ni maagizo ya watu na si maagizo ya biblia. Biblia maagizo yake ni peshaki kuwa siku ya 14 ya mwezi wa kwanza (New moon) na haifati zig-zag. Pia huhitaji PHD ili kujua kuwa anga ni uumbaji wa siku ya nne na ina amri zake. Au revoir!