Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
I did expect this kind of output 4 the type of govt we r having. Thanx Luhanjo and all cabinet members if ts true also welcm Jairo as ur the hero 4 opening the millions of eyes of Tanzanians.
It is not a joke, it is real 100%am resting in peace now now.......please say its a joke.....
Nakubaliana na wewe MKJJ mimi naweza kwenda mbali kidogo wewe umesema it was theatrics mimi nasema it was a pre planned tricky ku pre empt upinzani ulioonekana bungeni kwenye wizara hiyo, huku mitaani tunaufananisha na ujio wa kikombe cha babu.well.. I know I was right on this one. Shelukindo na wenzake hawakuwa na mkakati wa kweli wa kumlipua Jairo it was just the same theatrics of political triangulation. This one was easy.
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho
Ndo serikali hii hii kucha kuchwa unayoiteteaga hapa. Haijabadilika ni ile ile, so hakuna haja ya kupiga mayowe, itetee tu mwanzo mwishoHii serikali inatupeleka wapi sasa. Mtu ambaye ametuhumiwa kwa uwazi kabisa anarudishwaje tena kazini. It beats me!
Kwa mara ya kwanza napingana na serika yangu! Kama hili ni kweli, Katibu mkuu kiongozi na secretariet yake watakuwa hawakumtendea haki Pinda!
Bythe way, let the system work.
Na bado....
Inabidi madudu yaendelee hivi hivi mpaka ifike 2015 ndo watanzania wataamka kuona kuwa kweli CCM imeoza na haifai!!!!
Khaaaa, wewe huyooooo! cant believe my eyesHii serikali inatupeleka wapi sasa. Mtu ambaye ametuhumiwa kwa uwazi kabisa anarudishwaje tena kazini. It beats me!
Yeah mkuu if it aint broke dont fix itInabidi hali iendelee hivi hivi, mambo hayawezi kutengenezwa mpaka yaharibike sana. Safi sana Luhanjo!!
Source TC this afternoonSasa source wako nani??? Na kwanini unaongea issue sensitive namna hiyo kwa ufupi kiasi hicho bila details? Yaani umeniharibia siku yangu leo mara mbili, kwanza kwa kuandika jambo zito kwa ufupi sana, pili kama ni ukweli basi siku yangu leo ndo imekuwa mbaya zaidi!