meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
hivi lugalo kuna ct scanner?
Hospital ya jeshi ya Lugalo imepandishwa hadhi na kuwa ya rufaa.
Source:TBC1
hivi lugalo kuna ct scanner?
Ni wakati muafaka hospitali zote kubwa ziwe chini ya JWTZ na wanaotaka kuomba kazi kama hawa interns na madaktari bingwa wawe wana JWTZ baada ya kuhenya. Hospitali kama Bugando, Muhimbili, rufaa Mbeya etc ziwe katika utaratibu huo na iwe mara moja.
Serikali yetu inafanya mambo kama mtoto mdogo, yani hapo wanawalingishia madaktari kuwa wamepata mbadala wa MUHIMBILI, hivi kwanini hii serikali inaleta mambo ya kitoto hivi jamani?
wenye wivu wajinyongeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
hivi lugalo kuna ct scanner?
Hospital ya jeshi ya Lugalo imepandishwa hadhi na kuwa ya rufaa.
Source:TBC1
kidumu chama cha mapinduzi....
si wamesema mgomo umekwisha!mbona wanajichanganya?bugando haina specialists tusidanganyane.
si wamesema mgomo umekwisha!mbona wanajichanganya?bugando haina specialists tusidanganyane.