Hospital ya jeshi ya Lugalo imepandishwa hadhi na kuwa ya rufaa.
Source:TBC1
Inakidhi vigezo? au ni kukurupuka tu?
kidumu chama cha mapinduzi....
si wamesema mgomo umekwisha!mbona wanajichanganya?bugando haina specialists tusidanganyane.
Maspecialisti watawapata wapi? Au ndo kutoka kwa ayatola Khamenei.
Hospital ya jeshi ya Lugalo imepandishwa hadhi na kuwa ya rufaa.
Source:TBC1
Kweli nimeamini huyu jamaa ni DHAIFU
kidumu chama cha mapinduzi....