jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,522
Sasa alipokuwa waziri mkuu sijui ilikuwaje...haijawahi kwenye historia ya ccm, mtu anaetaka kuwa rais na mwenyekiti wa ccm
'akamponda waziwazi na kumdhalilisha mwenyekiti aliekuwepo madarakani'
bado mshtuko na athari zake hatujaziona bado..
the game this time is so different.........we have the unknowns unknowns so far.....
Kama ni kweli stori kuwa aliingizwa "force kingi" kujiuzulu, yaani ka alipigwa bao lakisigino,(endapo ni kweli aliongopewa aandake barua ya kujiuzulu), maybe JK alishauriwa na someone else...Then jamaa atakuwa na hasira sana tu...
And that the difference.