Lowassa Vs. Membe - Tanzania's own "Thrilla in Manila"?

kuweka ushabik pembeni, stil EL has won the hearts and minds of many, Hakuna Nyerere wa kumnad Membe, though he is said to b among those top patriotic leaders, if they destroy each other to the extent that they cnt stand the competition, its up to them, they cnt eat their cake and hav it.. chance 4 opposition!
 
wadau!
ninaomba tujadili uzi kwa umakin sna bila ushabiki,

Tukiwa tunaelekea kwny uchaguz mwakan yametajwa majina mengi sna kwa chama cha mapinduzi,ila naomba nijikite zaidi kwa membe amabye ni mmoja kati ya wanaotajwa kugombea bafs hyo juu,ni waz kabs hajatamka wazi lakin kwa mtu mzma anaye elewa kuchambuwa mambo atakubaliana namimi kwamba kati ya watu wanao utaka urais wa tanzania na yeye bs atakuwepo.

Ni waz minon'gono mingi imeshasikika kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuwa mh membe amejisogeza karibu sana na familia ya rais ili kuhakikisha kuwa familia ya rais yaan mama salma na mwanao riz wanampigia debe kuhakikisha anazama ndani ya ikulu mwakani.

Kwa ninavyo elewa mambo mh membe hajanza siasa leo,ni mwanasiasa wa siku mingi kidogo ila sasa cha kujiuliza nikwamba huy mh membe hajui ni watu gan anaoweza kuwaona na kuwashawishi ili waweze kjmpitisha kuwa mgombea wa ccm???ni waz kabs mi sio mwanasiasa ila ukweli nikwamba hta rais aliyeko madarakan anaweza akakupigia debe lakin bado usione ikulu,sembuse mama salma na riz!!

Habar zilizopo nikwamba mh membe amekuwa akijatahid kila awezavyo kuhakikisha kila siku anakuwa karibu na familia hii kuhakikisha ushindi,imefikia mahala anaenda na riz uingereza kwaajili yakwenda kuzungumza faragha ili riz amshawishi baba yake aweze naye kumuunga mkono.

Sasa mi niwaaulize wana jamvi je nikweli kwamba ukitegemea familia ya mh rais unaweza kuingia mjengo?????
 
Back
Top Bottom