LOWASSA ni tishio

Kama CCM watashiba siku hiyo na kufimbiwa halafu wakampitisha Lowasa, basi 2015 CDM wanapata ushindi wa kishindoooooo!!!!!!!!!!
 
Ndiyo maana nikasema hakuna mwenye hoja ya maana ya kumshitaki Lowasa!! Huu ulioandika hapa ni UZUSHI MKUBWA. kwa mfano hakuna asiyejua kuwa aliyeuza viwanja vya Mnazi mmoja miaka ya 1993 ni Rais Mwinyi hii hata taahira anajua, Lowasa kipindi hicho aliingia kwenye mgogoro mkubwa na mzee mwinyi kupinga uuzaji wa viwanja hivyo ambapo alitoa masaa kadhaa kwa manispaa ya ilala iwe imeondoa uzio wa mabati uliokuwa umewekwa hapo. baada ya muda kupita bila manispaa kuondoa wananchi walienda wenyewe kuyaondoa kitu kilichompa heshima kubwa Lowasa leo hii unatuambia Lowasa ndiye aliyeuza viwanja? HUU NI UONGO.

Kumutetea Lowasa unahitaji vichwa viwili!
Nilishakuwa na akili Timamu. Nakumbuka. Uzio uliondolewa na Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe na vijana baada ya kumsikia (lowasa) akijibu swali Bungeni Dodoma kwamba siyo halali.

Sasa hebu sema kidogo juu ya hayo mengine;
-Pesa za mafuriko ya Tanga
-Richmond na dowans.
- Pesa za Wizara ya maji

-vioski vya stationery Arusha
-Laundry zake Dar na kulazimisha wenye mahoteli kuzitumia
 
Nakubali Lowasa ni tishio bahati mbaya ni tishio from the negative side. Tutakoma kama tukimkubali. Asante kwa kutupa tahadhari!
 
naendelea kusoma maoni mbalimbali lakini bado sijaona point itakayomfanya Lowasa ashindwe kusimama,na chadema wanalijua hilo na ndio maana wameanza kutapatapa kila wakisikia Lowasa akitajwa! kimsingi Lowasa bado ana nguvu kubwa sana kisiasa,ishu ya Dowans au Richmond ni ishu ya system nzima si yake personally! kujiuzulu kwake ni alama ya ukomavu wake wa kisiasa na alifanya vile kwa maslahi ya taifa
Mzee mwinyi kabla ya kuwa Raisi alishawahi kujiuzuru lakini baadae akaja kuwa raisi! na hajawahi kukutwa na hatia katika kosa lolote la jinai na kugombea uraisi ni haki yake ya kikatiba
 
Mbona hata Nyerere alishasema tangu miaka ile ya Tisini kuwa Lowasa ni Tishio na hafai kushika uongozi wa Nchi hii.

Yalikuwa ni mawazo yake. Lakini pia ni Nyerere huyo huyo aliwahi kusema kuwa RAIS BORA ATATOKA CCM. Na kuhusu utajiri wa Lowassa, si tatizo. Kwani Nyerere aliwahi kusema UJAMAA NI IMANI, HATA TAJIRI ANAWEZA KUWA MJAMAA.

Ukweli unabakia palepale kuwa Lowassa ni Tishio ndani ya CCM na kwa wapinzani pia iwapo ataamua kugombea 2015
 
Huyu jamaa anajitisha mwenyew akijiangalia kwenye kioo kwa jinsi alivyo mchafu.. zaidi ya hapo hamna mtu ataweza kumtisha fisadi mkubwa yule.
 
LOWASSA TISHIO?!
Tusiandike kwa mate wakati wino upo:

1972 - 1973 Milambo High School (combi: Swahili, History na English - SHE) Division III

1975 - 1970 University of Dar es Salaam (B.A. Theatre Arts "Sanaa ya maigizo") Pass

AMA KWELI TISHIO!

Kweli wewe FATAKI kama siyo FEKI na hapa umeamua kulipuka. Nani alikwambia mtu anayefaulu sana darasani ndo anastahili kuwa kiongozi?? Unataka kuniambia mgombea mwenza wa Dr SLAA mwenye elimu ya Std VII hafai kuwa kiongozi? Je wazazi wetu walioishia darasa la IV la mkoloni/wengine hawakusoma kabisa hawakustahili kutuzaa? Je, na wale ma-PHD holders wenye kesi mahakamani, elimu yao imewasaidia nini?
SHAME, SHAME, SHAME ON YOU BUDDY!! JAMANI HATA KAMA MPO CDM, MZOMEENI HUYU JAMAA, ANAONESHA JINSI GANI ALIVYO FEKI
 
Kama CCM watashiba siku hiyo na kufimbiwa halafu wakampitisha Lowasa, basi 2015 CDM wanapata ushindi wa kishindoooooo!!!!!!!!!!
tarehe 29 December 2005,bunge la Tanzania kwa zaidi ya asilimia 98% lilipitisha jina la Lowasa kuwa waziri mkuu,kura za NDIO zilikuwa 312,na zilizokataa zilikuwa ni kura mbili tuu,na wakati huo kulikuwa na wabunge wa upinzani zaidi ya 30 bungeni,hii inaonyesha nini?? kwamba hata wapinzani wanamkubali sana Lowasa,na kiujumla ni tishio kwa mgombea yoyote wa uraisi kutokana a ushawishi wake mkubwa na nguvu ya kisiasa as well as uongozi wake uliotukuka! na ni waziri mkuu pekee wa Tanzania aliyeonyesha ukomavu wa kisiasa na kujiuzuru kwa maslahi ya taifa.

Positions held by Lowasa
He held various positions in the government since the late 1980s:
  • Managing Director - Arusha International Conference Centre, 1989-1990
  • Minister for State, Prime Minister's Office and First Vice President (Judiciary & Parliamentary Affairs), 1990-1993
  • Minister of Lands, Human Settlement Development,1993-1995
  • Minister for State, Vice President's Office — Environment & Poverty, 1997-2000
  • Minister of Water and Livestock Development, 2000-2005
  • Member of Parliament — Monduli Constituency, 1990-Present
  • Prime Minister, 2005-2008
  • president.......................
 
Hii quotation kitaaluma lazima uandike umepata wapi.otherwise ni offence kubwa ya kitaaluma
 
Nimekuwa nikifuatilia sana vyombo vya habari vinavyopinga Lowassa(Mwanahalisi na Raiamwema) na vinavyo msapoti(Rai na Mtanzania). Nimefuatilia sana wanasiasa wanaompinga na kumsapoti. Mwisho nimebaini kuwa Lowassa ni tishio kubwa kwa wanaoutaka urais wa muungano ndani ya chama chake na kwa upande wa upinzani. Ana nguvu kubwa sana serikalini na katika chama. Ni bingwa wa kuratibu mtandao kisomi. Ni mtendaji na haogopi. Na iwapo ataamua kugombea, hatakuwa na mpinzani mwenye nguvu ndani ya chama chake na hata ktk uchaguzi mkuu. Sote tumeshuhudia jinsi alivyoweza kuukwaa uenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje, ulinzi na usalama bila mtu yeyote kutia mguu kumpinga. Na sasa tumeshuhudia jinsi anavyopata sapoti kutoka kwa Mhe Beatrice Shelukindo na mumewe William Shelukindo. LOWASSA NI TISHIO

Hilo nalo neno mh!
 
nimekuwa nikifuatilia sana vyombo vya habari vinavyopinga lowassa(mwanahalisi na raiamwema) na vinavyo msapoti(rai na mtanzania). Nimefuatilia sana wanasiasa wanaompinga na kumsapoti. Mwisho nimebaini kuwa lowassa ni tishio kubwa kwa wanaoutaka urais wa muungano ndani ya chama chake na kwa upande wa upinzani. Ana nguvu kubwa sana serikalini na katika chama. Ni bingwa wa kuratibu mtandao kisomi. Ni mtendaji na haogopi. Na iwapo ataamua kugombea, hatakuwa na mpinzani mwenye nguvu ndani ya chama chake na hata ktk uchaguzi mkuu. Sote tumeshuhudia jinsi alivyoweza kuukwaa uenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje, ulinzi na usalama bila mtu yeyote kutia mguu kumpinga. Na sasa tumeshuhudia jinsi anavyopata sapoti kutoka kwa mhe beatrice shelukindo na mumewe william shelukindo. Lowassa ni tishio

bravooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa nini watu wanakuwa wazito kuelewa kwamba LOWASSA ndiye rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!!
 
Kweli wewe FATAKI kama siyo FEKI na hapa umeamua kulipuka. Nani alikwambia mtu anayefaulu sana darasani ndo anastahili kuwa kiongozi?? Unataka kuniambia mgombea mwenza wa Dr SLAA mwenye elimu ya Std VII hafai kuwa kiongozi? Je wazazi wetu walioishia darasa la IV la mkoloni/wengine hawakusoma kabisa hawakustahili kutuzaa? Je, na wale ma-PHD holders wenye kesi mahakamani, elimu yao imewasaidia nini?
SHAME, SHAME, SHAME ON YOU BUDDY!! JAMANI HATA KAMA MPO CDM, MZOMEENI HUYU JAMAA, ANAONESHA JINSI GANI ALIVYO FEKI

Hebu tuondoe hasira. Utasema yaliyomema kama utaondoa hasira.

Ni ajabu kwamba huyu mtu kumbe uwezo wake wa kujifunza ni mdogo. Ndo maana ya matokeo ya shuleni na chuoni. Na hiyo amini usiamini ni hatari kuwa na Rais asiyeweza kujifunza. Kwani hali ya sasa ikoje hivyo! hivyo! Kama ilishindikana hiyo miaka. Hapa uzeeni ataweza?

Bahati mbaya hatuko tayari kubahatisha eti labda alishindwa shule, lakini uongozi anaweza. NO!
Si kisha shindwa? Au sasa eti kujiuzuru kama Mwinyi nayo imekuwa sifa ya kuwa Rais? NO!
 
Habari wana jamii,
Hivi tunaweza kuandika hizi post zenye sustantiated facts? zaidi ya hizi
 
hii post siwezi kuishangaa kwa sababu ameiandika lowasa mwenyewe kujipima anapendwa vp au wanamzungumza vp juu ya yeye kuwa raisi na ukizingatia alisha chafuka na hafai sasa nasema yeyote anayemkubali fisadi huyu basi aitakii nchii mafanikio mema, tena msitumie nafasi hii kumkwaza mungu
 
Viongozi wote wa CCM ni mafisadi papa,hata huyo Sokoine, alikuwa fisadi bahati mbaya mauti yalimkuta pasipokujipanga sawasawa,mali zake nyingi aliwekeza kwa watu hasa wahindi Arusha na wote waliiliza familia yake,hivyo sishangai kwa Lowasa, amejitayarisha kwa ajili ya kugombea Urais 2015,waswahili wanasema samaki mkaange na mafuta yake mwenyewe,fedha zetu wenyewe zinatukaanga,LAKINI NGUVU YA UMMA NDIYO ITAKAYOAMUA.TUNAMSUBIRI AJE,KAMA ATAWEZA KUHONGA UMMA WOTE WA TANZANIA.

Hizo hela wanazopata kwa sasa hivi kutoka na mzee wa Loliondo Ambilikile Mwasapile, mpaka 2015 unafikiri hazitokuwa zinatosha??

Ila mimi sijanywa... kwa hiyo hawawezi kupata kura yangu.
 
Back
Top Bottom