nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
Kwani mafisadi na wauza unga wanafikia asilimia 68?
kwa ccm ni zaidi ya 80%.
Kwani mafisadi na wauza unga wanafikia asilimia 68?
weka pichaMagufuli ana Ugonjwa wa MOYO na amewekewa Chuma, hafai kuwa Rais....
We kweli unachekesha sana..... Ina maana hao wote wanapiga kura au wanaopiga kura ni wale waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la NEC?....
lowassa ana ugonjwa wa kiharusi. ndio mana hata kuongea hawezi anaishia kutema tema mate tu
Labda kura za maruhani ila mkae mkijua mshindi ..
Ni dr. Magufuli kimbilio la wakulima na wafanyakazi nambari wani
Waru wanakuangalia na kukucheka tu
Kwani mafisadi na wauza unga wanafikia asilimia 68?
Waru wanakuangalia na kukucheka tu
Naweka picha
tanzania haiwezi kuongozwa na jizi