Lowassa kushinda Oktoba, Maalim Seif kushinda kwa asilimia 51.9%

CUF wana ngome nzito Pemba ata Mwalimu JK alipokuwepo hakuweza na hasingeweza kuibomoa,lakini mwaka huu ngome ya CCM Unguja imebomoka sana kwanza Katiba iliyotupwa na CCM pili Viongozi wakubwa wa CCM mfano Mansoori kwenda CUF na ujio wa Lowassa ambaye ana washabiki wengi Unguja.Hii ina maana Maalimu Seif atashinda kwa zaidi ya 58%No question about that
 
Kwa mtazamo wangu Lowasa atashinda zaidi ya hizo asilimia tajwa.

Ni kweli mkuu, maaana REDET wao wamekuta kuwa Lowasa atashinda kwa asilimia 63 CCM wamewakataza kutangaza hadharani.............................mtandao wa Easypolls unaonyesha Lowassa atashinda kwa asilimia 71 dhidi ya 29 za Magufuli
 
Kwa report ya taasisi ya SSRC ambayo inatoka leo zinaonyesha Lowassa ataibuka mshindi katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika tarehe 25.10.2015..

Katika utafiti huo inaonyesha Lowassa atapata asilimia 54.6% dhidi ya Magufuli atakayepata asilimia 43% za kura zote. Na vyama vingine kuambulia chini ya asilimia 2%...

Katika report hiyo inaonyesha Lowassa atapata kura nyingi sana katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Mwanza, Geita, Kagera, Shinyanga, Mara, Tabora, Kigoma, Pemba, Mbeya, Iringa, Ruvuma na Njombe.

Na Magufuli kuongoza katika mikoa ya Simiyu, Katavi, Unguja na Rukwa.

Mikoa ya Tanga, Mtwara, Lindi, Morogoro, Singida, Dodoma, na Pwani (mojority still undecided)...

Kwa upande wa Rais wa Zanzibar utafiti huo unaonyesha kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kwa sasa, Ndg. Maalim Seif ataibuka mshindi kwa kupata asilimia 51.9% (roundup 52%) na hii ni kutokana na kura zaidi ya kura 260,000 zitakazoongozeka kutoka Unguja ikiwa ni matunda ya Lowassa kujiunga na Ukawa.

Kwa maana hiyo upande wa Pemba atakuwa na uwakika wa kupata asilimia 98.7% na kwa upande wa Unguja safari hii atapata ongezeko la kura kwa asilimia 3.4% kitu kitakachomfanya aibuke mshindi hapo Oktoba...

NB: Utafiti huo pia unaonyesha kuna uwezekano wa kuwa na serikali ya mseto, Ukawa wakishikilia dola ila kwa kuwa hawataweza kupata wabunge wengi ukilinganisha na CCM itawabidi kuunda serikali ya mseto....
Mkuu Ocampo four mbona kama hii ID yako ni mpya umejiunga jana wakati wewe ni mzoefu hapa?

Join Date : 26th August 2015
Posts : 34
Rep Power : 307
Likes Received20
Likes Given
 
Last edited by a moderator:
Hata msemeje Rais ni Lowasa tu....JK. alikuwa na ana kifafa lakini ni rais! Magufuli ana chuma kwenye moyo wake na tarehe 26/12/2015 anaenda ujerumani tena, kila mtu ni mgonjwa,
Hakuna rangi mtaacha kuona mwaka huu. fimbo za mgongo hadi 25.0ct 2015. ngoja aje magufuli ashughulikie majizi na mafisadi
 
Ni kweli mkuu, maaana REDET wao wamekuta kuwa Lowasa atashinda kwa asilimia 63 CCM wamewakataza kutangaza hadharani.............................mtandao wa Easypolls unaonyesha Lowassa atashinda kwa asilimia 71 dhidi ya 29 za Magufuli

Ukweli ni huo,Lowasa ananguvu kubwa mnoo
 
Back
Top Bottom