mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Mimi watz nashindwa kuwaelewa kabisa kwa jinsi walivyompokea huyu fisadi mkuu wa ccm na kumpa hadhi ya juu kabisa eti akagombee urais.hivi anadhani urais ataupata?ashindwe na alegee
Pole kwa kutokwa na povu! Yote kwa yote tulia sindano iingie vizuri!