TumainiEl; mbona unafanya kazi ya nyoka? Wewe tangu lini ulikuwa UKAWA? Tangu lini ulikuwa CHADEMA, eti unarudisha kadi. Kazi ya ummamluki itakuweka pabaya. Achana na UKAWA siyo saizi yako.
Wewe endelea na mafisadi sugu wako wa ccm, habar za CHaDEMA na UKaWa hazikuhusu!.
Ibilisi ndiye ana tabia ya kujibadilisha, ulaghai na uchonganishi.
Mwisho wako kama hutabadilika ni mbaya.
Wewe endelea na mafisadi sugu wako wa ccm, habar za CHaDEMA na UKaWa hazikuhusu!.
Ibilisi ndiye ana tabia ya kujibadilisha, ulaghai na uchonganishi.
Mwisho wako kama hutabadilika ni mbaya.
Ukawa ndo pressure juu ccm tupo biyeee tunakatapila hatuogopi matopi