Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,909
- 2,784
ameuliza kuumwa stroke sio kupata stroke!!!
kumbe kiharusi si ugonjwa?
ameuliza kuumwa stroke sio kupata stroke!!!
Huyu jamaa hata akifika 2015 kwa muonekano wake tu hataziweza kampeni.
Kuna tetesi kuwa Mbunge wa Monduli CCM, Edward Ngoyai Lowassa anaumwa sana na amepelekwa matibabu Ujerumani, Mwenye taarifa sahihi atujuze............ nawasilisha.
kwani kwenda magogoni shida iko wapi? Anayeshi pale sasa hivi ana uzima gani? Mara haishi kudondoka majukwaani...unadhani hizo ziara za kila siku za ughaibuni bure? Mwombeeni el apone arudi kuendeleza mapambano
Kuna tetesi kuwa Mbunge wa Monduli CCM, Edward Ngoyai Lowassa anaumwa sana na amepelekwa matibabu Ujerumani, Mwenye taarifa sahihi atujuze............ nawasilisha.
Ombea adui asiishi siku nyingi ili usipobarikiwa asioneOmbea adui aishi siku nyingi ili unavyobarikiwa ajionee