Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Mnamuhofia ee! How about DR? 2015 atakuwa na hali gani?Huyu jamaa hata akifika 2015 kwa muonekano wake tu hataziweza kampeni.
Mnamuhofia ee! How about DR? 2015 atakuwa na hali gani?Huyu jamaa hata akifika 2015 kwa muonekano wake tu hataziweza kampeni.
Juzi si kulikuwa na thread yake humu kuwa sms zake zimekamatwa na TAKUKULU kuhusu kugawa pesa Arumeru leo tena yupo Ujerumani anaumwa Stroke.
Usiseme uongo ni moja kati ya amri za Mungu alizopewa Musa kutuletea , tuzijue na kuzifuata ili tuweze kuuona ufalme wa Mungu.Kuna tetesi kuwa Mbunge wa Monduli CCM, Edward Ngoyai Lowassa anaumwa sana na amepelekwa matibabu Ujerumani, Mwenye taarifa sahihi atujuze............ nawasilisha.
Na wewe sijui ulitaka kusema nini labda ukashindwa kusema ukaeleweka,kwani mtu akiwa ujerumani hawezi kutuma sms ??
Mnamuhofia ee! How about DR? 2015 atakuwa na hali gani?
Labda unisaidie mkuu wangu hivi hunaweza kutuma sms wakati mwili umepata Stroke?
Usidanganyike, hamna wakati chama kipo kwenye hali nzuri kama wakati huu. CCM ni mwendo wa usindi tu, subiri Arumeru ujionee!Magamba mnajitoa ufahamu, chama kiko unstable kisa mbio za EL kuelekea magogoni, lini umesikia Dr Slaa akisema au kusemwa kugombea uraisi?
stroke zina stage mbalimbali wewe..anaweza kuwa na minor stroke,kuna watu wangapi wamepata stroke lakini viungo vyao vingine vinafanya kazi kama kawaida na pia kutuma ujumbe unaweza kumuelekeza tu mtu maneno ya kuandika akaandika kwa niaba yako na kukusomea majibu pia.
Ni bora afe ili ushahidi uwe wazi kati yake na jk;
Kama alivyo bwana msafi na gavana balali
Tuambie mkuu Stroke yake ni ya aina gani?
kama ni kweli tuandae nyimbo
sasa hilo ndio ulitakiwa kuanza nalo badala ya kukurupuka kushangaa kama inawezekana mtu akatuma msg akiwa ujerumani.Swali lako nimelipokea na mimi nakusaidia kuliekeza kunakohusika,eti jamani kuna mwenzetu anauliza kwa mwenye tetesi mungine tetesi mlizosikia eti mzee lowassa "stroke yake" ni ya aina gani?????
Yule kesha kuwa mzee mzima,kwahiyo suala la afya lisikushangaze sana kwani wazee huandamwa na magonjwa ya kizee.Mara kadhaa huelekea Germany ikiwa ni sehemu ya clinics zake, hili la kudhoofu ngoja tulifatilie na tujue.
Sasa kumbe hata wewe ujui mie nilidhani ulivyokuwa unazichambua Stroke nikadhani ya Lowassa unaijua!
Na unaweza kutusaidia hizo sms alizokuwa anatuma kutokea Ujerumani alikuwa anatumia line ya kampuni gani TiG0, AIRTEL, VODACOM?