kilio gani?EEh Mungu sikia kilio chetu
OTIS
sasa hilo ndio ulitakiwa kuanza nalo badala ya kukurupuka kushangaa kama inawezekana mtu akatuma msg akiwa ujerumani.Swali lako nimelipokea na mimi nakusaidia kuliekeza kunakohusika,eti jamani kuna mwenzetu anauliza kwa mwenye tetesi mungine tetesi mlizosikia eti mzee lowassa "stroke yake" ni ya aina gani?????
Siasa hizi zisizo na ubinadamu hazina tofauti na ushirikina.Kumtakia mtu kifo ni uchawi tu,siyo itikadi wala sera.
................
We have all what it takes to restore our dignity and integrity as a Nation,we have all what it takes to restore our Pride as Nation.
Siasa hizi zisizo na ubinadamu hazina tofauti na ushirikina.Kumtakia mtu kifo ni uchawi tu,siyo itikadi wala sera.
Naamini chadema tutaunda serikali mwaka 2015,tunahitaji CCM imara ili kuimarisha harakati za kuchukua dola na kuunda dola imara zaidi baada ya chaguzi mkuu 2015.
Tuendelee kuiunga mkono chadema huku tukiendelea kuombeana heri.Umoja katika harakati zetu ndicho kipimo cha umoja katika dola itakayoundwa na chadema baada ya uchaguzi mkuu 2015.
We have all what it takes to restore our dignity and integrity as a Nation,we have all what it takes to restore our Pride as Nation.
Kuna tetesi kuwa Mbunge wa Monduli CCM, Edward Ngoyai Lowassa anaumwa sana na amepelekwa matibabu Ujerumani, Mwenye taarifa sahihi atujuze............ nawasilisha.
lisemwalo lipo,hali ya kiongozi yule ni mbaya hata ukimtizama tu unagundua,nilipata bahati ya kukaa nae karibu mahali hivi karibuni,nilisikitika sana kwa kweli kwa jinsi nilivyomfahamu mheshimiwa kabla na kwa muda mrefu kumuona kabadilika vile roho iliniuma sana,lakini ndio hivyo binadamu sisi si mali kitu ni vema tumrejee mungu na kumuomba sana hii dunia tunapita tu tusijisahau sana.
mungu ampe nafuu haraka.
kilio gani?
ukiingia vitani hakuana kusema unapiga halafu usiwauwe maadui zako ili ukipata ushindi au ukiuteka mji wao waone watakutesa ndili kosa alilofanya wana wa isaraeli mpaka leo mapigano yaishi kule soma maandiko mkuu huyu bwana kama ni kufa na afe ili taifa lipate ukombozi dhidi ya maadui maana zamani tulikuwa na maadui watatu ujinga maradhi na umaskini siku hizi kuna nyongeza ya magambaMungu mjalie uzima.
Ili akipona mwaka 2015 Cdm inapochukua nchi.
Aone kwa macho yake na atumikie kifungo chake bila wasiwasi.
Juzi si kulikuwa na thread yake humu kuwa sms zake zimekamatwa na TAKUKULU kuhusu kugawa pesa Arumeru leo tena yupo Ujerumani anaumwa Stroke.