Sasa tuta aminje kama habari yako niya kweli,tulikua tumeandaa sherehe fisadi anakufa ni ushindi kwetu Mungu anakuwa amejibu maombi yetu.
Naunga mkono hoja.Zamani JF ilikuwa inaheshimika hoja motomoto, habari za kweli na mambo ya mana siku hizi imeshakuwa kijiwe cha porojo na utumbo mwingi tu!! sijui itumike modality ipi kurudisha heshima ya JF labda mtu akipost kitu kikaja gundulika kilikuwa cha uongo mods wampige ban ya maisha itasaidia watu kuwa na discpline la sivo sioni tofauti sasa kati ya JF na Facebook!!
Wakati mwingine habari za kichokozi hata kama si za kweli zinasaidia maana mada isingechokozwa tusingejua huyu mwizi yuko pande. Ipi ya duniaTwo things to be done;
1. Picha hizi ni za lini?
2. Ni lini pia alipitishwa airport kupelekwa kwa matibabu.
Tukiyajibu haya nadhani tutasonga, kuumwa ni suala la dharula, unaweza kuwa mzima sasa na baadae ukapatwa na ugonjwa.
AMA KWELI WEWE DUBU Jike au mbona unapewa hata chanzo halafu hutaki kuamini je ni vibaya watu kumtetea? au unataka watu wa mtetee sitta na baba mwanaasha? acha chuki binafsi ficha aibu yako.nyote siwaamin labda aliye sema lowasa mgonjwa ntamuelewa. Humu jf wapo watu kibao wanampigia debe lowasa na kumsafisha na hawataki lowasa asemwe kwa mabaya yoyote. Huyu lowasonjwa tu hadi atakapo kanusha. hizi picha zimepigwa lini? tuacheni kidogo bana.
Kama ni kweli ile Thread ya jana ilikuwa changa la macho inapasa jamaa aliyeanzisha apigwe BAN nzito sana.Alimchanganya kamanda Invisible akaipaisha kwenye other social netiweki kumbe hakukuwa na uzibitisho.Na hata hii kama haina ukweli huyu naye ashughulikiwe.
Mods fuatilieni hii issue lazima JF iwe na standards ya information.Jana kuna watu walifungiwa kisa kina Barubaru, tunataka yule aliyeanzisha uzi wa uongo kuhusu Lowassa naye anyongwe kama wengine
Mh Lowassa akizungumza na spika wa seneti ya Morocco, Mohamed Yatim
Wajumbe wa kamati ya bunge wakiwa na mwenyeji wao Mohamed Yatim Morocco ambako wako kwa ziara ya kikazi.
Ni kweli EL yuko ziarani na Kamati ya Bunge lakini vilevile afya yake bado mgogoro kwani hata vikao vya Bunge liliopita hakuhudhuria vyote.
Wakati mwingine habari za kichokozi hata kama si za kweli zinasaidia maana mada isingechokozwa tusingejua huyu mwizi yuko pande. Ipi ya dunia
Naunga mkono hoja.
- Wazushi na wafitini wamekuwa wengi.
- Mtu ana suala la mipasho au dini, kwa kuwa anaona hapa ndio kuna wasomaji wengi, analileta hapa.
- Mtu katikati ya mada makini, akiona anazidiwa kwa hoja anaporomosha matusi ya nguoni. Lusindes@work.
- Mtu hata hapitii threads zilizopo tayari, anakimbilia kupost habari hiyo hiyo. Ni kutaka umaarufu au uvivu? Inaudhi!
Tushukuru kuwa JF mtu anapost habari inachapishwa hapo hapo. Kwengine inaweza kukaa hadi wiki inachujwa na kutafutwa usahihi na usafi wake. Hapa hilo haliwezekani kwani MODS wetu ni watu wa kujitolea na wanashughuli zao nyengine. Lakini nakubaliana wakibaini habari ni ya uongo, wapigwe LIFE BAN
JF naipongeza kwa kukosoana idumu. Pia naipongeza kwa kutupa habari kabla ya kusoma kwenye mitandao ya magazeti. Mola awabariki wote.Two things to be done;
1. Picha hizi ni za lini?
2. Ni lini pia alipitishwa airport kupelekwa kwa matibabu.
Tukiyajibu haya nadhani tutasonga, kuumwa ni suala la dharula, unaweza kuwa mzima sasa na baadae ukapatwa na ugonjwa.