hata kikwete tulisema hivyo,sasa ni kulia na kusaga meno.
Hii partial knowledge inanitosha...
Ili mradi nimejua kesho siku ya kazi basi!
Nadhani Lowasa ndio chaguo la wnegi 2012,kwani haiwezi pita siku bila kuongelewa ktk tasnia ya habari si JF,MABADILIKO wana wanabidii,kila sehemu jina ni Lowasa
kama anaweza tumpe nafasi
Kesho maulid ndugu yangu si siku ya kazi angalia kalenda basi?
Asije kuwa kama Sumari(RIP)
Kikwete anamuua Lowassa taratibu kwa kumpa stress, by the time 2015 inawadia jamaa atakuwa amechoka taabani!!
Kwa nini hamshauri sasa aache hiyo pombe?yule ni mgonjwa.......alipatwa na mild stroke mwaka jana.......na kama ungemwangalia vizuri mikono yake inatetemeka tetemeka......kwa sasa anatumia vidonge vya kuondoa hali hiyo toka indonesia na malyesia..vidonge vile ni vizuri ila tatizo lake huyu jamaa ni pombe....anakunywa sana Remmy-martin .....akiacha kabisa hii kitu itamsaidia kupona....
Hivi huyu jamaa ni mmasai au mmeru?
Ahsante..
Ni mojawapo ya faida za JF..
Sasa je,unakifahamu kinywaji hicho?
Huyu jamaa mzimu wa mwalimu unamwandama baada ya yeye kutaka ku-take advantage of his physical absence na kugombea urais tena. Kumbuka walichukua ndege kurudisha fomu na mwalimu kidogo apate heart attack. Pesa wametoa wapi vijana wadogo hawa. Wana hela chafu. Wezi. Mishahara wasingeweza kutumia hivi chatter. Lakini hebu tuulizane kidogo. Chatter Dar - Dom return ni kiasi gani ili tuone kama mwalimu was fair and very fair na kipato chao kwa wakati huo kama kingeruhusu. I prefer looking both sides sometimes. Anyhow si unajua kama baba akiacha laana how it works. Laana lives my friend.
Kwa nini hamshauri sasa aache hiyo pombe?
Sikifahamu,sababu situmii pombe!
watanzania na kauwezo kadogo ka kufikiri mnakimbilia ku judge by appearance'huo ni ujinga bana huwezi ku judge book kwa kusoma cover'some kitabu kizima'yule jamaa achana naye ni milionea hata ukichanganya ukoo wako wote hamumfiki hata nusu