Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
lHiyo Remmy Martins ina alcohol %age kiasi gani?
ukishaandika % tayali ni parcentage!haina haja ya kuandika %age!!
lHiyo Remmy Martins ina alcohol %age kiasi gani?
kweli vile....
Mi ndiyo naperuse kujua Remmy Martins ina alcohol kiasi gani.. We pia nisaidie kuulizauliza King'asti...
lowasa ni jibu la matatizo ya tz
watanzania na kauwezo kadogo ka kufikiri mnakimbilia ku judge by appearance'huo ni ujinga bana huwezi ku judge book kwa kusoma cover'some kitabu kizima'yule jamaa achana naye ni milionea hata ukichanganya ukoo wako wote hamumfiki hata nusu
ee mwenyezi mungu mjalie lowassa afya njema ili atukomboe 2015.
Ana afadhali ukilinganisha na mwanae, mwanae kazeeka zaidi kwa mitungi!!!
ukishaandika % tayali ni parcentage!haina haja ya kuandika %age!!
Juzi kati nilipanda nae Precision 5H-PWA toka K'njaro to Dar!kweli amedhoofu sana sana!ni kama ana stroke ktk mikono,anashuka kwa tabu ktk ndege....oooooops!Money isn't everything!
Watu wanakunywa gongo aka konyagi mwitu na alcohol % haiko stable itakuwa hiyo pombe yenye jina la kike? Yule masai, anakula nyama na ugali, sio ugali na nyama! hata anywe gongo ananawiri tu! Sema kama ana matatizo mengine!
hata kikwete tulisema hivyo,sasa ni kulia na kusaga meno.
baada ya kutuibia
asiwe milionea kwanini!
Kwani ukoo wa huyo
jamaa waujua weye?
Ndio mi ni msemaji wake
munduli sio,,,, sasa
atagombea nini?
Uenyekiti wa mtaa
balozi wa nyumba 10
au uzee wa church?
Ama ukuu wa boma?
Kazi ni kwako!!!
Nimefuatilia vizuri hii post, bado sijaona jibu la msingi kulingana na swali la msingi lililoulizwa zaidi ya vichekesho. Mwenye taarifa zaidi juu ya tatizo la Waziri Mkuu aliyejiuzuru atupe.
Ee Mwenyezi Mungu mjalie Lowassa afya njema ili atukomboe 2015.
Na wewe tena umemkana Dk Slaa? Kila siku povu linakutoka kumtetea Dk Slaa kumbe upo kwa Lowassa, hahahahaha!