gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Mi nimemwona mwanasiasa huyu kwenye mkesha wa Maulid huko Mnazi Mmoja,usiku wa kuamkia leo...kavaa suti kama ya dark blue,kasimama alongside mgeni rasmi (Mohamed Gharib Bilal),Ali Hassan Mwinyi,na wengineo...
Ila,ni kama ENL anadhoofu!
Waliotoa hotuba ni pamoja na Rais Mstaafu wa awamu ya pili.. Anaonekana ana siha bora zaidi na wajihi angavu zaidi kumlinganisha na ENL!!
Ila,ni kama ENL anadhoofu!
Waliotoa hotuba ni pamoja na Rais Mstaafu wa awamu ya pili.. Anaonekana ana siha bora zaidi na wajihi angavu zaidi kumlinganisha na ENL!!