Denis Kasekenya
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 549
- 157
Na isomeke:Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya ufisadi.
it sounds nice
Na isomeke:Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya ufisadi.
samahan napenda kujua utofaut wa kujiuzulu na kustafu, maana kuna watu wanasema jamaa alijiuzulu kwa ufisadi?Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.
dogo siamini kumbe na wewe ccm?kijana upo?
Vipi umeacha kutembea na sumu mfukoni?
kijana upo?
Vipi umeacha kutembea na sumu mfukoni?
Lowasa ni jembe
Yaani we jamaa hadi unatia huruma,halafu hujastukia watu wanakupotezea lkn we umo tu,lol!Anaandaliwa na CDM kuchukua nafasi ya SLAA, wanaona anafiti kutokana na kuwa mkristo kuliko kumpa ZITTO nafasi hiyo.
Waziri mkuu aliyejiuzulu tu inatosha, sasa tukianza kutoa sababu za aliejiuzulu kwa sababu hii na ile itakuwa kazi, hasa ukiangalia jambo lenyewe linalozungumziwa wala hakuna haja ya yote hayo, halafu kitu kingine ikumbukwe tu hakuna haja ya kumuandama mtu kwa mazuri anayoyafanya pindi apatapo nafasi, kwa hili Ben naomba siasa ikae pembeni.
Na isomeke:Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya ufisadi.
Lowasa ni jembe
Na isomeke:Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya ufisadi.
kutafuta uraisi makanisani
Anamhonga hata Mungu??? Rushwa kweli haina woga.
Hahaaa, Ben au bean Saanane? kazi mayo CDM mtajaribu kujikuna huku na kule lakini mwisho wenu chali, Vipi mkuu yule mjukuu wa balozi ana umri gani sasa?
Ben acha noma, huyu MASTER ni mtendaji, akipata nchi kwa kazi atayopiga Watanzania miioyo itasuuzika.