Hatutaki wapiga kelele kwenye mikutano yetu
Msigwa ni mpiga mayowe
a.k.a mchunga Nguruwe, Hahaa kaka, nilifikiri mimi peke yangu ndo majua hivyo kumbe tuko wengi
Hatutaki wapiga kelele kwenye mikutano yetu
Msigwa ni mpiga mayowe
teh teh teh, mkwe wa balozi wa Rwanda ana vituko huyo? nasikia Kagame anamhitaji si unaona wanavyofanya shingoKijana upo?
Vipi umeacha kutembea na sumu mfukoni?
kutafuta uraisi makanisani
Ngoja watanzania wafaidi mali zao hizo jamani.ni ukweli usiopingka kuwa huyu mh.anajiandalia kili kitu mwenyewe. Hata arusha alishaandaa maandamano ya kumpokea kamanda wa polisi akayazuia. Ndo zake anaratiba iliyoandaliwa na wapambe wake mpaka mwishoni mwa 2014
na mimi ninakajumba kangu hivi wakuu nikimwomba Lowassa anaweza kunisaidia kumalizia ujenzi wake??
Wewe kweli uko gizani, huyu jamaa na SLAA lao moja, wabunge wote wa CDM wa kanda hiyo wameamriwa na viongozi wao kuhakikisha wanampa mapokezi ya nguvu.Pengine ni ushauri wa Mwigulu kuwaiga CDM !
raisiiiiiii.....!!!!Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.
Lowasa ni jembe
Huyu ndie Rais wa Tanganyika 2015. Safi sana.
tafadhali usimfananishe zzk na ELAnaandaliwa na CDM kuchukua nafasi ya SLAA, wanaona anafiti kutokana na kuwa mkristo kuliko kumpa ZITTO nafasi hiyo.
kabisa.!Huyu ndie Rais wa Tanganyika 2015. Safi sana.
Na isomeke:Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya ufisadi.