Baada ya kuona jahazi linaelekea kuzama hatimaye mh lowassa ameamua kuingilia kati,habari za kuaminika zinasema kwamba yupo kwenye mazungumzo mazito na wazee wa kimila wa arumeru(washili)nyumbani kwake monduli.hii ni ktk kuweka mazingira sawa. Ushauri kwa washili simamen ktk majukumu yenu achaneni na siasa zakupendelea ccm iliyokosa dira. Source: rafiki wakaribu wa nywele nyeupe.