Love v/s money. . . .!

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,712
Siku hizi wanaume wamekua wakilalamika kuwa wanawake wamekuwa wakipenda hela na hawamtaki mwanaume asiekua na hela.Wanawake nao wamekuwa wakidai kuwa sio kweli kuwa jambo hilo lipo na kama lipo ni kwa wanawake wachache sana.Lakini pia ukitazama mazingira utaona kila upande unazungumza ukweli fulani.Mazingira yanaonesha kuwa pande zote zipo,yaani wanawake wapenda hela wapo na wanawake wanatambua hilo,tofauti ni ukubwa wa tatizo unavyoonekana kwa wanaume na wanawake,wanaume wanadai ni idadi kubwa ya wanawake ndo wanapenda hela.Maisha yamebadilika sana pesa inaonekana kama tool kuu ya kuendesha maisha mpaka inatumika kwenye kuamua nani awe na mahusiano na nani!Ukweli ni huo na wa kulaumiwa anaonekana ni mwanamke coz ndie anaefuatwa na ndie anaekubali au kukataa,hivyo wanaume wamekuwa wakijitoa kwenye lawama hii.Lakini je nani mwanzilishi halali wa kadhia hii?Hivi wanaume wakigoma kuwa wahongaji jambo hili litaisha?Au wanawake watalazimisha?Je nani anaweza kubadili hali hii wanawake au wanaume?Maana inaonekana mapenzi ya bila hela kama hayawezekani siku hizi!
 
mkuu vp yashakkuta nini? Lakini hata hivyo, hivi huyo mwanamke mjinga utampata wapi, yaani umuchie hayo 'maujiuji' yako aende ananuka shombo bila hata kipoozeo mkuu. Au mkeshe usiku kucha, halafu unamuacha day b bila hata hela ya supu!
 
Siku hizi wanaume wamekua wakilalamika kuwa wanawake wamekuwa wakipenda hela na hawamtaki mwanaume asiekua na hela.Wanawake nao wamekuwa wakidai kuwa sio kweli kuwa jambo hilo lipo na kama lipo ni kwa wanawake wachache sana.Lakini pia ukitazama mazingira utaona kila upande unazungumza ukweli fulani.Mazingira yanaonesha kuwa pande zote zipo,yaani wanawake wapenda hela wapo na wanawake wanatambua hilo,tofauti ni ukubwa wa tatizo unavyoonekana kwa wanaume na wanawake,wanaume wanadai ni idadi kubwa ya wanawake ndo wanapenda hela.Maisha yamebadilika sana pesa inaonekana kama tool kuu ya kuendesha maisha mpaka inatumika kwenye kuamua nani awe na mahusiano na nani!Ukweli ni huo na wa kulaumiwa anaonekana ni mwanamke coz ndie anaefuatwa na ndie anaekubali au kukataa,hivyo wanaume wamekuwa wakijitoa kwenye lawama hii.Lakini je nani mwanzilishi halali wa kadhia hii?Hivi wanaume wakigoma kuwa wahongaji jambo hili litaisha?Au wanawake watalazimisha?Je nani anaweza kubadili hali hii wanawake au wanaume?Maana inaonekana mapenzi ya bila hela kama hayawezekani siku hizi!

Eiyer
What other tool is there kuendeshea maisha zaidi ya pesa? From which angle do you justify mpewa pesa as the culprit in instead of mtoaji? Maana if you ask me, I'd say............... if there are no buyers, then obviously a seller shall stand no chance of ever flourishing!!!!
 
mpenzi bila pesa ni sawa na daladala bila konda

Spika, mbona umetoroka mjengon?
Lkn m naweza sema pesa ndo kila ki2 hata ukiwa mbaya vp watakusumbua 2. Ma she wa cku hiz wanathamin sana money bt hata ma he, kama hujiwez na yeye hatakuweza.
 
Your right nemo,but kama wewe ndo vnaamua ni nani umkubalie huwezi kuona kuwa mwanamke pia anaplay sehem muhimu pia kwenye jambo hili?As long as yeye nindio anaefuatwa na ndo anaeamua amkubali yupi!
 
mkuu vp yashakkuta nini? Lakini hata hivyo, hivi huyo mwanamke mjinga utampata wapi, yaani umuchie hayo 'maujiuji' yako aende ananuka shombo bila hata kipoozeo mkuu. Au mkeshe usiku kucha, halafu unamuacha day b bila hata hela ya supu!

Be serious ndyoko!U knw what i'm tolkin about!
 
Siku hizi wanaume wamekua wakilalamika kuwa wanawake wamekuwa wakipenda hela na hawamtaki mwanaume asiekua na hela

mmh, waswahili husema pesa/fedha ni sabuni ya roho... fedha ndiyo medium ya kubadilishana bidhaa au huduma katika ulimwengu wa leo na almost kila kitu including mapenzi hivi sasa kinaweza kuthaminishwa kwa fedha; kwa maoni yangu, wanaume hawana sababu ya kulalamika kuhusu wanawake kupenda fedha coz wanaume wenyewe ndiyo watumiaji wakubwa wa medium hii katika masuala ya mapenzi... na wengi wao wanaamini kwamba ukishakuwa na fedha (hata kama huvutii au ni domo zege) utampata mwanamke yeyote na wakati wowote unaotaka
 
Pesa sio kila kitu lakini wanaume wengine wanakua na tabia mbaya sana unamvumilia kwenye dhiki zote akishaipata pesa
wewe ulovumilia unakua hustahili kule ile pesa anakuja mwenzio anaejua kutumia wewe tena unakua spare hapo ndio kaona haya la ukimpata mwenye uso wa mbuzi ndio hata hakujui wewe nani tena,mambo kama haya yanamfanya mwanamke avujike moyo na atakae kuja baada ya hapo ndio wanalipa alio fanyiwa huko alikotoka....
 
Arabianfalcon,una uhakika unaposema kuwa fedha sio kila kitu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom