Long Distance Relationship: Raha, kero na jinsi ya kutunza mahusiano

Hapo nimekubali....Imagine mume anaishi majuu more than eighty years na mke bongo na watoto.Mume kumtembelea mume ni kila two years.kwa usemayo ni kweli kabisa .....with lies and unfaithfullness on both sides life will move on au sio.


Hapo kwenye rangi ya "msimbazi" sijakupata uzuri...

Otherwise, uaminifu ni tabia ya mtu..tamaa siku zote ipo pale hta mkiwa kitanda kimoja muda wote bado haimaanishi mpo pamoja kiroho. Wapo watu ambao hata akiwa kwenye kuvunja amri ya 6 au kwenye tendo la ndoa, kamwe hawezi kuhitimu mpaka amfikirie kiumbe mwingie aliye mbaaali kabisa na si yule anayepumzika nae kwa wakati huo.

so is a matter of personalities than generalization....
 
They are a total waste of time, money, energy, and emotions. I have never engaged in a long distance relationship and I never will. It is an unrealistic fantasy, if there is such a thing.

Let's face it...why would I wait for your a$$ when I can smash some Decatur flavor that's only one (booty) call away?
You sound like you have a preatty lousy reminiscent, but since you said you have never engaged in long distance r/ship, I could say perhaps you are being a little too harsh!!
 
You sound like you have a preatty lousy reminiscent, but since you said you have never engaged in long distance r/ship, I could say perhaps you are being a little too harsh!!

I'm just keeping it one hundred....you are hundreds or thousands of miles away from your partner....really, what kinda meaningful relationship are y'all gonna have?
 
They are a total waste of time, money, energy, and emotions. I have never engaged in a long distance relationship and I never will. It is an unrealistic fantasy, if there is such a thing.

Let's face it...why would I wait for your a$$ when I can smash some Decatur flavor that's only one (booty) call away?

woooww GOD what a trash so you are ready to smash anyone available?? dont u need something special?
 
kwa asilimia 99 ni upotezaji muda,pesa na matumaini. KAMA UNAISHI DAR ES SALAAM,AT LEAST rafiki yako awe toka KENYA,UGANDA,BURUNDI,....NINA MAANA NCHI ZINAZOKUZUNGUUKA.HAPO UTAPATA FAIDA ANGALAU YA ASILIMIA MOJA. UHUSIANO WA KIBIASHARA/KUJUA LUGHA UNASAIDIA SANA.TATIZO LA LONG DISTANCE FRIENDSHIP:
1.KUNA UWONGO KULIKO MAELEZO.MTU ANASEMA YUPO JAPANI HAPOHAPO WNYE BLOG WANAKUTONYA KUWA HUYO JAMAA NI LIONGO HAPO LIPO LAGOS BE AWARE. YAANI NI FUJO TUPU.
2.KUNA WEZI VILEVILE WENGI SANA HASA KUTOKA NCHI ZA........,........., NA.......UKIZUBAA TU UMEUMIA.
3.MWISHO WATU HAWAPO SERIOUS KABISA,KULE. UHUSIANO ULE SIJUI NIUITEJE.
4.KUNA WAHALIFU WA KIMATAIFA WENYE KUBOBEA NA FANI YA COMPUTER/INTERNET.
 
woooww GOD what a trash so you are ready to smash anyone available?? dont u need something special?

Naaah..you didn't get my point. I didn't say I would smash just anyone. I said I'd smash some Decatur flavor....not every girl is Decatur flavor. Decatur flavor is just a metaphor for a pretty young thing (PYT)......
 
Naaah..you didn't get my point. I didn't say I would smash just anyone. I said I'd smash some Decatur flavor....not every girl is Decatur flavor. Decatur flavor is just a metaphor for a pretty young thing (PYT)......

shemeji.....

nimekusoma katikati ya mistari
 
It works as a relaxation, like playing cards after a hard work but not as a reliable relationship.
 
Inakuwaje wanajf?
Jana nimetoa thread yangu hapa,ninashukuru kwa ushauri wenu,na ninaamini utafanyiwa kazi.
Leo nimekuja na nyingine ila kwa upande wa pili.

Nina rafiki angu wa kike ambaye alikuwa na boyfriend wake kuanzia form five,wamemaliza form six wote huyo kaka akapata sponser ya kwenda kusoma UK degree ya medicine akiwa kama best student.Ukweli walikuwa wanapendana na kuaminiana sana na hawakupenda kuwa mbali ila hakukua na jinsi kwa sababu ndio way ya kutafuta maisha.

Waliendelea kuwasiliana vizuri na kupeana ahadi nyingi za maisha ya badae,lakin baada ya mwaka mmoja kaka alianza kubadilika kimawasiliano,dada alimlalamikia sn na mara nyingi huyu kaka alimjibu kuwa ni sababu ya masomo magumu yanamuweka kuwa busy sn,dada alilidhika kwa hilo lakini hali iliendelea hivyohivyo,cha kushangaza kaka alipokuwa akikaribia kuja likizo alikuwa anakuwa karibu sn kimawasiliano,na atakapoondoka hali ni ileile,na ukiulizwa jibu ni lilelile ubusy wa masomo.

Hali iliendelea mpaka dada anafika mwaka wa tatu,kaka alizidi kumpa ahadi za kumuoa lakini kwa mawasiliano hafifu.
Wakati dada anamaliza chuo alitokea mkaka ambae alikuwa akimpenda toka akiwa mwaka wa kwanza,aliwahi kum-aproach akajibiwa kuwa dada hakuwa tayari kwa sababu alikuwa na mpenzi wake anasoma nje na alimuahidi kumuoa akimaliza chuo,basi huyu kaka wa sasa alimuacha na ilipofika wakati wa kumaliza chuo alimrudia na kumueleza nia yake kuwa angependa kumuoa sababu amempenda tangu akiwa mwaka wa kwanza na amependa sn tabia yake,lakini bado dada msimamo wake ulikuwa palepale,basi wakaamua kuwa marafiki wa kawaida tu,na hatimaye kaka akapata mchumba mwingine na kuoa mpaka sasa wana mtoto mmoja wa kike.

Baada ya mwaka mmoja toka dada amalize chuo,na akiendelea na mawasiliano hafifu na mchumba wake alipata habari za kushtua,ilikuwa ni tarehe 5 dec mwaka jana alikuja rafiki wa mpenzi wake aliye nje na kumuuliza,shem mbona mmefanya mambo haraka2 sn na mshikaji? dada hakuelewa sn maana ya hilo swali na aliamua kukaa kimya ili afanye uchunguzi vzr,ndipo aliposikia mpenzi wake aliyekuwa UK anatarajia kufunga ndoa na mchumba wake wa hukohuko ambaye ni mjamzito na ni muafrika mwenzie waliyekutana hukohuko,dada hakuamini na alipojaribu kumtafuta huyo mpenzi wake hakumpata kwa namba yoyote ile,mpaka siku ya harusi inafika,ambayo ilikuwa ni tarehe 26 dec mwaka jana binti alikuwa hajielewi kuhusu maisha yake,alihisi kama ana mkosi ktk mapenzi.

Mpaka ninavyoandika thread hii,huyu dada ambaye ni rafiki angu yupo single,hatamani kuwa na relation katika maisha yake tena,ana kazi nzuri lakini hana raha katika maisha yake,aliyekuwa mchumba wake alioa na kurudi UK na mke wake,yule kaka aliyempenda chuo ameshaoa na amebaki kuwa rafiki tu,dada amebaki hana muelekeo wa maisha kabisa katika mapenzi.

Swali kwa wote,hivi huyu dada alimkosea nini huyu kaka,kwanini asingemwambia mapema,na kwanini siku zote alimsisitiza atake care anakuja kumuoa.

Sasa nauliza hivi hii ni tabia ya mtu?au ndo tuseme ni distance love?
 
kwani ndio mwisho wa maisha? mwambie aache kujinyima raha (raha unajipa mwenyewe usidaganywe) atapoteza umri wake kwa mtu ambae hastahili at all... Tell her its not the end of life...she is not the only one who is betrayed by her lover but life goes on... she will be loved...
 
hakumkosea chochote huyo kaka, bali huyo kaka inaelekea hakua na msimamo. muhimu imeshatokea sasa anatakiwa kupanga maisha yake upya, mbona maisha bado yapo!
 
Causin mie naona topic hii umeileta kulinganisha with your thread ya jana/leo. you are trying to see whether it is worth to keep a long distance rship and you are also trying to compare views/suggestions of members between your two threads. Sasa hapo uamue kusuka ma kunyoa.

Huyo rafiki yako mwambie shit happens it was either meant to be or not. she should enjoy her life and let her date another man. aint worth to be lonely and keeping herself locked from men hata kama aliumia sana. what she can do is trying to forget and move on.
 
DISTANCE LOVE?.......!
naah!not me bana
i must cheat you:banplease:
 
@Noname hapo tu ndo nakuchukiaga..............Raha jipe mwenyewe ati!!!

ukitegemea mtu ndio ayafanye maidha yako awe na furaha hakika umekishwa!!!!

life is full of disappointments kwa kweli. she isnt the first one or the last one!!! heartbreak zipo kila leo.

jamani mimi huwa naamini kuwa pengine hata ukijing'ang'anizamwisho wa siku ungeuja kuumia zaidi.

tell her to move on with her precious life heee jamani!!!
 
I'm gonna say that love is OVER-RATED. Because I hate people who sulk in dark corners just because they weren't so lucky in love. I've been through that phase. But now that I have a better perspective, I have realized that feeling sorry for oneself is one of the worst things that you could do to yourself. I hate the way most people equate happiness with love alone. I mean, there's more to life than finding 'the one' for you. If you're in love, then good for you. But if you're not, it should not take it toll on your self-perception either.

Having said this, I also hate people who over-grieve their lost loves. I know, mending a broken heart is not an easy task. In fact, it takes effort to do so. But given enough time to let yourself heal, you should be okay. But after that mourning period, you should go back to appreciating yourself and not let past heartbreaks ruin what you have at present.....
 
Nidhani imetokea kwa sababu ya umbali, fimbo ya mbali haiui nyoka. Huyo kaka hakuwa na lengo baya na huyo dada ila alishindwa kuvumilia. Ushauri> Huyo dada atulie atampata aliyepangiwa na Mungu. Ni ngumu lakini piga moyo konde.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom