Long Distance Relationship: Raha, kero na jinsi ya kutunza mahusiano

Dear members

what is your insights of Long Distance relationships? Do they work? Does it worth to wait?
This works kwa watu wa damu baridi!, sisi wa damu moto hili ni gumu!.

Mimi nilimuo school shweetheart wangu mara tuu baada ya kumaliza chuo, tukahamia UK nikaamua kurudi home bongo, mwenzagu akanigomea!. Nikarudi home mwenyewe na kuendelea kwa distance relationship ila ilinishinda, nikamsisitiza arejee, akarejea na ndoa ikaendelea tukawa blesed with two issues!.

Wife akapata scholaship ya US for four years!, nilikubali, akaondoka, mwaka wa kwanza tuu, nilishindwa kuvumilia, huku nikijisaidia kwa wasaidizi, nikawa nikimtembelea kila mwaka!. Alipofikisha mwaka wa nne na kumaliza chuo, nikamfuata turejee nyumbani, akaniambia amepata good job, mimi ndio nihamie kwake nikawe "house husband!" because she can afford!. Kuna watu wa kan da fulani hili la kuolewa hatuliwezi!. Tukaamua yeye aendelee kuishi huko na mimi bongo, tutaendelea kutembeleana and that was the begining of an end!.

Mimi ndie niliyelianzisha huku bongo na yeye akafutia huko US!, kiafrika sisi wanaume tunajiona lolote tufanya ni right!, ila haya tufanyayo yakifanywa na mwanamke is not right!, nilikubali she has the rights too!, kwa sasa its history, but still good friends, zile issues 2 ziko kwangu, zimeongezeka kufika 6!, na yeye anazo zake 2!, life goes on!.
I doesn't work well with damu moto!.
Pasco.
 
This works kwa watu wa damu baridi!, sisi wa damu moto hili ni gumu!.

Mimi nilimuo school shweetheart wangu mara tuu baada ya kumaliza chuo, tukahamia UK nikaamua kurudi home bongo, mwenzagu akanigomea!. Nikarudi home mwenyewe na kuendelea kwa distance relationship ila ilinishinda, nikamsisitiza arejee, akarejea na ndoa ikaendelea tukawa blesed with two issues!.

Wife akapata scholaship ya US for four years!, nilikubali, akaondoka, mwaka wa kwanza tuu, nilishindwa kuvumilia, huku nikijisaidia kwa wasaidizi, nikawa nikimtembelea kila mwaka!. Alipofikisha mwaka wa nne na kumaliza chuo, nikamfuata turejee nyumbani, akaniambia amepata good job, mimi ndio nihamie kwake nikawe "house husband!" because she can afford!. Kuna watu wa kan da fulani hili la kuolewa hatuliwezi!. Tukaamua yeye aendelee kuishi huko na mimi bongo, tutaendelea kutembeleana and that was the begining of an end!.

Mimi ndie niliyelianzisha huku bongo na yeye akafutia huko US!, kiafrika sisi wanaume tunajiona lolote tufanya ni right!, ila haya tufanyayo yakifanywa na mwanamke is not right!, nilikubali she has the rights too!, kwa sasa its history, but still good friends, zile issues 2 ziko kwangu, zimeongezeka kufika 6!, na yeye anazo zake 2!, life goes on!.
I doesn't work well with damu moto!.
Pasco.

Ushuhuda mzuri ndugu Pasco...
Kuwa na uhusiano mkiwa mbali, hasa damu moto ni changamoto kubwa. Kitu kidogo tu kinaleta sintofahamu kubwa, kukaa bila mawasiliano kwa mda mfupi kunaleta maswali na kutoaminiana.

Ni bora kujitathmini kwanza, kama huwezi bora kuangalia mtu anayeishi karibu na mazingira yako ili kuwa na uhusiano wenye afya!
 
Last edited by a moderator:
It works only if you are holding to a certain commitment. But it rarely work for just boy/girl friend stage. But you can try....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom