Salah haondoki
Hela za kununua hao watu wapya club inazo mbona..itoe tu
Nadhani sasa wamejifunza kama ubahili siyo jambo zuri.
YNWA
🤣🤣🤣Ebu mcheki babu bhana atupe yajaya ya Salah maana kama uchezaji wake ndio huu wa mechi kama 10 zilizopita basi hatufai kama stata wa muda wote na kwa mshahara wake yule sio squad player ujue...

Aonyeshe tena makali sio kingine... Naelewa form is temporary na class is permanent hivyo bado anaweza kufanya jambo.

YNWA
 
Ebu mcheki babu bhana atupe yajaya ya Salah maana kama uchezaji wake ndio huu wa mechi kama 10 zilizopita basi hatufai kama stata wa muda wote na kwa mshahara wake yule sio squad player ujue...

Aonyeshe tena makali sio kingine... Naelewa form is temporary na class is permanent hivyo bado anaweza kufanya jambo.

YNWA
Kwani anacheza pekeyake?
Timu ndiyo inayomuangusha Salah

Akipata combo nzuri ya wachezaji wa aina yake jamaa ni moto sana


Mnataka aondoke halafu nani acheze?
Jones,jota sijui Diaz wote wanashinda wodini.
 
Kwani anacheza pekeyake?
Timu ndiyo inayomuangusha Salah

Akipata combo nzuri ya wachezaji wa aina yake jamaa ni moto sana


Mnataka aondoke halafu nani acheze?
Jones,jota sijui Diaz wote wanashinda wodini.
Wewe mpira unaangaliaga kweli yaani unasema Salah Sasa hivi wa moto nafikiri humjui Salah miaka 5 nyuma mtu umri ukienda kwenye mpira hata iweje hawezi kulazimisha kiufupi asepe wachezaji wapo wengi tu wakusajiliwa
 
Wewe mpira unaangaliaga kweli yaani unasema Salah Sasa hivi wa moto nafikiri humjui Salah miaka 5 nyuma mtu umri ukienda kwenye mpira hata iweje hawezi kulazimisha kiufupi asepe wachezaji wapo wengi tu wakusajiliwa
Salah wa sasa siyo wa miaka mitano nyuma lakini haiondoi ukweli kuwa ni mchezaji mzuri bado.
 
Salah wa sasa siyo wa miaka mitano nyuma lakini haiondoi ukweli kuwa ni mchezaji mzuri bado.
Mchezaji mzuri sawa ila watu wanaitaji matokeo ya ubingwa sio kucheza vizuri umeelewa dada Liverpool inahitaji wachezaji wa kuipa ubingwa hata firmino anacheza vizuri ila hayupo Liverpool
 
Hata damu changa nao wanapuyanga tu
Akina Nunez wamepuyanga

Akina Jota ndio hao wanashinda wodini muda wote
Ndio hapo umuhimu wa Salah unaonekana,hana majeruhi ya mara kwa mara na ya muda mrefu.
Kwani usajili Liverpool imefungiwa tunavyosema Salah asepe inamaana maingizo mengine lazima yaingie yenye uwezo wa juu yatayokuja kuibeba nembo ya Liverpool Salah alishabeba Kila kitu Hana uchungu na Liverpool tena kwahiyo ni legend wa Liverpool Sasa hivi
 
Kwani usajili Liverpool imefungiwa tunavyosema Salah asepe inamaana maingizo mengine lazima yaingie yenye uwezo wa juu yatayokuja kuibeba nembo ya Liverpool
😂😂😂
Salah sio tena Mchezaji muhimu pale Liverpool afanye kuondoka kama wenzake Mane na Bobby.
 
Wewe mpira unaangaliaga kweli yaani unasema Salah Sasa hivi wa moto nafikiri humjui Salah miaka 5 nyuma mtu umri ukienda kwenye mpira hata iweje hawezi kulazimisha kiufupi asepe wachezaji wapo wengi tu wakusajiliwa
Saint Annie katanguliza mahaba kuliko uhalisia wa kile anachokifanya Salah uwanjani sasa hivi
 
😂😂😂
Salah sio tena Mchezaji muhimu pale Liverpool afanye kuondoka kama wenzake Mane na Bobby.
Yaani Salah kiufupi Sasa hivi ni legend sio mpambanaji tena anafosi tu na hiyo ni hata Kwa klopp naye ni mstaafu akili yake imeshazeeka na mpira wa kisasa hauhitaji wazee kama ndio wafanya maamuzi ya mwisho
 
IMG-20240501-WA0157.jpg
 
MSIMU ULIISHA KABLA HAUJAISHA.

Kwangu msimu wa Liverpool ulimalizika mechi ya Utd FA cup, toka pale niliona hali itakuwa mbaya sana. Mimi ni muumini wa mpira mzuri, sasa kwa tulivyocheza bila PASSION, AGGRESSIVE, COMMITMENT, we were like hey we will score anytime. Tulipoteza loads of chances bila hata kuonesha ishhh.!!!! WTF


Utd waliitaka ile mechi kuliko LIVERPOOL alivyoitaka. That match was supposed to be put on the bed only 1st Half kwa Liverpool. Utd walikuwa tayari baana eh tufungeni tu mnaweza kuliko sisi, tukashindwa, walipopata magoli wakaona ahaa kumbe its possible lets pushing guys BOOM wakafanikiwa. Again Klopp alizingua ile mechi kwa subs zile.

Mechi zilizofuata yalikuwa yale yale tu nothing new, nikaitoa LIVERPOOL kwenye mbio za ubingwa maana sikuon mabadiliko yoyote ya kimbinu wala kiakili. Wachezaji wanacheza wakiwaza next season itakuwaje? Hawana future baada ya Klopp na jopo lake kuondoka (its a massive clear out, mpaka wapishi wanaondoka), je kama ni wewe utakuwa na utimamu wa akili? Jibu ni Hapana, even Klopp ni kama alishaumaliza msimu tayari kwenye mechi ya Palace (0-1).

Anyway mambo kadhaa naona yametuporomosha kutoka quadruple mpaka kubaki na kikombe kile cha CARABAO.

1. Klopp’s issue
Lawama namtupia Mr.JK kwa sababu kutoka season inaanza tulikuwa na magonjwa kadhaa a) defensively as a team and poor performance 1st half. Hapa akatupa na jina “MONSTER MENTALITY” tukaona Yes, sisi ndio mashujaa tunaweza kutanguliwa na tulamsulubu mtu, tukachukulia ni sehemu yetu ya msimu huu. Mimi mmoja wapo niliona YES sisi ndio wababe YNWA”, kumbe tunapika BOMU na limekuja kulipuka mwishoni, quadruple ileeee.

Ni ngumu sana kuwa bingwa huku mara 21 umetanguliwa kufungwa kati ya mara 35. Record mbovu sana hii mbaya sana hii. Hatustahili kubeba EPL kama vile ambavyo tayari imeshatokea. Arsenal deserve alot especially 2nd round of the season. They are deserving ahead of City but always City is City, Pep is just Pep anapoona kuna uwezekano.

Klopp alishindwa kuiset timu yake kimkakati, unajua ukituangalia tunavyofikiwa kwenye final third kiwepesi na baaada ya hapo ni mipira inapenya nyavuni tu kwa sababu tunakosa hata Individual brilliance. Kwa nini inakuwa hivi? Patterns zetu zinakuwa mbovu sana, Hatuna mapafu ya mbwa pale kati, tayari Endo amechoka (excessive game time) Szobo isnt the same too, Jones amerudi kwenye asili yake ya kichezaji (to hodl ball too much even kwenye moves za maana). Graven akili inataka mwili hautaki, Macca ndio kiungo tunayemtegemea zaidi, akifuatiwa na ELIIOT akicheza as RCM na akitokea sub. Nafikiri ilikuwa vyema Klopp acheze na double pivot (Endo & Macca, Endo as anchor and Macca as Play marker) kisha mpr Szobo free role offensively, change 4-3-3 to 4-2-3-1 uangalie itakulipa au lah.!!


Mpira wa Klopp ni SPEED & ENERGY ila kwa Sasa mwenye uwezo wa kufundisha matumizi ya SPACE & TIME anafanikiwa zaidi. (Pep, Arteta,Amorim, Alonso, De Zerbi n.k) kwa Klopp imekuwa tofauti kidgo.
IMG_5133.jpg



Embu angalia Liverpool wakicheza halafu angalia na timu kama City, Arsenal, Brighton, Fulham, angalia moves zao ni za hatari kuanzia build up mpaka final third ya mpinzani. Sasa inatokana na uwezo wa kocha kuunda patterns mbali mbali za miondoko. Liverpool tukicheza kila mchezaji lazima atapigiwa pasi atapokea atakaa nao atleast 1-2 seconds, wengine watatumia even 2-4 seconds hawa ni attackers wetu. Sas tunakosa hizo moves za hatari kwa kishindwa kutumia SPACE & TIME vyema.

Klopp yupo na sisi kimwili ila kiakili hayupo nasi. Toka game ya FA mpaka ya Westham hatujabadilika kitu kiuchezaji. Aisee ilibidi nimuelewe Klopp na kauli ya kuishiwa nguvu ya kufundisha ni 100% True tusimuhukumu hata kidogo. Angalia Line up vs Atalanta, angalia subs zake dah.!!

Nafikiri niseme tuThank You Klopp for everything, ulitupa furaha na huzuni japo furaha ilidumu kuliko huzuni. Best of luck.

2. Kwa wachezaji.
Pamoja na Klopp na mapungufu yake yakujirudia rudia (2020/2021) last season na msimu huu, ila kwa sasa lawama wabebe wachezaji nao kubwa tu.

Embu angalia mechi ya utd EPL (Nunez alivyokosa)
City at Anfield (Diaz with one Glorious chance and second chance looks min glorious chance) Gakpo vs City vs Utd Yaani hii imeenda mpaka kwa Salah toka arudi kutoka injury hajawa Salah yule yule anakosa magoli ya kipuuzi, anapiga mashuti unashindwa kuelewa ndio anajifunza kucheza au ni mzoefu huyu? Jota (clinical ila injuries sasa dah.!).

Kuna moves tunazitengeneza za 5v2 4v2 lakini end product ni 0. Ila cha ajabu kwetu inatokea 4vs 3 lakini tunaruhusu, yaani tuna wachezaji wanne kwenye eneo letu la mwisho na wapinzani wapo watatu ila wanafunga. Ndio ile inaitwa MWAKA WA NJAA.
IMG_5132.jpg

IMG_5131.jpg

d88adb9b-0729-48a8-99a9-819898163c35.jpg

Ona hizo chances. Yaani hakuna mchezaji ana nafuu awapo golini wanakosa utulivu wa akili.
IMG_5134.jpg

Hii picha nimeambatanisha huko juu kwenye maelezo ya shida ya Klopp, ona hao Fulham walivyonipanga, kawaangalie Atalanta both matches, angalia, palace, Everton miundo ni hiyo hiyo tu. Hapo wana deal na wachezaji wawili tu ENDO na Macca Basi kina Vvd, Quansah, Konate, Robbo, Alison watajipigia mipasi weeeeee wao wakipata ni quick moves tayari tumefikiwa.

Anyway Thanks Klopp anaondoka kwa sababu hawezi kutu offer kingine kipya.

YNWA.
 
TUZUNGUMZIE LIVERPOOL YA MSIMU UJAO.

Kwa ufupi Liverpoo imemaliza msimu wake rasmi mafanikio ni sealed UCL spot and Carabao Cup. Haya ni ndani ya uwanja ya nje huko tuachane nayo kwa sasa.

Sasa Liverpool ya msimu ujao itakuwaje bila Klopp na jopo lake?.

Ipo hivi baada ya FSG kumbembeleza sana Klopp abaki na kukataa kata kata, FSG waliona sehemu sahihi ni kurudi kwa Michael Edward, kwa nini? Wanajua uwezo wake kwenye mambo ya mpira (biashara ya mpira yupo vizuri). Wakaona wamtumie yeye kuiunda timu upya maana kuna kuondoka watu wengi sana. Ukiacha upanuzi wa uwanja kumrejesha Edward ni mojawapo ya Furaha FSG wamewahi kunipa.

Sasa basi Edward aliwavimbia mara ya kwanza akijua fika FSG watarudi tena, na kweli FSG walirudi kwa nguvu zote kwa Edward, sasa hivi ilikuwa ni Edward aseme anachotaka ili arejeshwe. Edward hakutaka mambo mengi mpunga mrefu, aliwaambia “I WANT FULL TAKE OVER” yes alitaka awe na mamlaka na sio nusu nusu kama alivykuwa kwa Klopp. FSG agreed the deal maana walikuwa wahitaji kuliko Edward. Edward ana kampuni yake ya data (ulaya ukibobea kwenye data analysis unaula tu). Hivyo hakutetereshwa na deal la FSG, tupambane tuondokane na NJAA kama Edward ili upate heshima. Imagine FSG mabosi wanapiga magoti kwa bwana mdogo Edward. Funny.

Anyway twende mbele, jambo la kwanza Edward alimchagua Richard Hughes as Sporting director ( jamaa hawa washkaji), Edward akampa jamaa shavu, ngoja tuone itakavyolipa.

Next move ilikuwa ni kumtafuta Kocha. Edward wanted Alonso, Alonso akachomoa deal akaamua kubali Leverkusen kwa msimu ujao. Naona mambo mawili kwa Alonso kwa nini alikataa deal
1. Bado anaona hajawa tayari kwa deals kubwa, pressure kwa Leverkusen itakua ndogo kutokana na udogo wao kimafankio, hivyo atamudu na kuiongoza Leverkusen kwenye CL league yenye new format.

2. Anataka kuprove watu wrong kwamba kabahatisha na moments kama hizi hutokea nadra sana.

3. Anategea deal la kwenda Madrid baada ya Don Carlo kuondoka. Anaipenda Madrid over Liverpool, Spanish guy, amecheza pale kwa mafanikio, amekuwa kocha wa U18 pale, anamafungano na Madrid over LFC

Anyway Edward hakufikiria kuendaelea na deals za Alonso”, akapaa kutoka Ujerumani huyoooooo mpaka Uholanzi akatua pale Feyernood akakutana na kipara mmoja anaitwa ARNE SLOT. Mwamba mwenye mpira wake. Baada ya msimu wa 2022/2023 kukamilika Chelsea na Spurs walienda kuzungumaz na Slot kwa ajili ya kumchukua kama alivyofanya Alonso kwa LFC ndivyo Slot akawafanyia wanaLondon hao.

Tumzungumzie our own BALD, Mr. Arne Slot bwana na sisi LFC tumeona City wanafaidi na kipara wao na siye wacha tukamtafute wa kwetu, kisha tukapiga hesabu tena kuwaonea gere utd na kipara wao tukaona na siye isiwe tabu tukapita nae alipotokea kipara wa utd. Msimu ujao tuna vipara watatu, jiji la Manchester na jiji la Liverpool wawili tumewaona hao kutoka Manchester ila mmoja ngoja kwanza.

Baada ya kupendekezwa kumrithi Klopp Edward jambo la kwanza alipunguza majukumu kwa Slot akamwambia tunakutaka ila utakuwa Coach na sio Manager.
Utofauti wa hapo ni kwamba Coach anahusika na mambo ya ndani ya uwanja tu, training, kupanga line ups baasi, ila manager anafanya haya na anahusika moja kwa moja kwenye kusajili. Its a British traditional. Bwana Edward akaona lets go anti clockwise yaliyotokea kwa Klopp yasitokee kiwepesi.

Hivyo Mfumo ni kwamba Slot atapeleka report zake kwa SD (R. Hughes) Hughes nae atapeleka kwa CEO (Michael Edward) watafanya meetings na kuamua wote ila mwenye maamuzi ya mwisho ni Edward. Mf. Slot ataandika nahitaji beki mwenye sifa hizi na hizi na hizi, nahitaji DM mwenye sifa hizi na hizi na hizi, atazipeleka kwa SD & SD atazipeleka kwa CEO. Hivyo kunakuwa na mgawanyo wa majukumu.

Turudi kwa Slot.

Kwanza ni muumini wa 4-2-3-1 hapa ni double pivot MFs maana yake anacheza na viungo wawili wenye uwezo wa kuka ba na kuchezesha timu, kwa sasa tuna Endo na Macca.

Kwa mimi tukipata Good DM na Endo awe back up (age yake itamlimit) kumtumia Trent kucheza na DM itafanya kazi vizuri sana. Trent ni master kwenye long and killer passer, anatumia Lone ST, anatumia Wing Backs, build up yake inaanzia kwa GK na Central CB’s kama makocha wengi wafanyavyo. Ni muumini wa highline, Energetic Footabll, Pressing game, matumizi ya SPACE and TIME.

Sifa yake moja kubwa ni kujiamini, alipotakiwa na LFC kabla ya official meeting alisema “I WANT THAT JOB, I’M READY”.

Kwa data he is good as Klopp ( not mafanikio) kiuchezaji regardless of results kwanza.

Slot anatumia pure no. 10 hapa tunaweza kuona ubora wa Szobozslai as no. 10, Elliot, Macca and even Elliot.

RW & LW wakati wa kutengeneza mashambulizi huingia ndani pia kuungana na CF kutoa room kwa RB na LB kuingia pembeni kutengeneza mstari wa viungo wa tano. Hapa naona kama mnufaika ni JARELL QUANSAH over Konate (injury and style of play).

Nitandelea kumuongelea Slot, ila tusijipe matarajio makubwa mwisho tukapata magonjwa yanayoepukika. Tumuone kwanza kwenye Pre season na aina ya sajili tutakazofanya.

YNWA
 
TUZUNGUMZIE LIVERPOOL YA MSIMU UJAO.

Kwa ufupi Liverpoo imemaliza msimu wake rasmi mafanikio ni sealed UCL spot and Carabao Cup. Haya ni ndani ya uwanja ya nje huko tuachane nayo kwa sasa.

Sasa Liverpool ya msimu ujao itakuwaje bila Klopp na jopo lake?.

Ipo hivi baada ya FSG kumbembeleza sana Klopp abaki na kukataa kata kata, FSG waliona sehemu sahihi ni kurudi kwa Michael Edward, kwa nini? Wanajua uwezo wake kwenye mambo ya mpira (biashara ya mpira yupo vizuri). Wakaona wamtumie yeye kuiunda timu upya maana kuna kuondoka watu wengi sana. Ukiacha upanuzi wa uwanja kumrejesha Edward ni mojawapo ya Furaha FSG wamewahi kunipa.

Sasa basi Edward aliwavimbia mara ya kwanza akijua fika FSG watarudi tena, na kweli FSG walirudi kwa nguvu zote kwa Edward, sasa hivi ilikuwa ni Edward aseme anachotaka ili arejeshwe. Edward hakutaka mambo mengi mpunga mrefu, aliwaambia “I WANT FULL TAKE OVER” yes alitaka awe na mamlaka na sio nusu nusu kama alivykuwa kwa Klopp. FSG agreed the deal maana walikuwa wahitaji kuliko Edward. Edward ana kampuni yake ya data (ulaya ukibobea kwenye data analysis unaula tu). Hivyo hakutetereshwa na deal la FSG, tupambane tuondokane na NJAA kama Edward ili upate heshima. Imagine FSG mabosi wanapiga magoti kwa bwana mdogo Edward. Funny.

Anyway twende mbele, jambo la kwanza Edward alimchagua Richard Hughes as Sporting director ( jamaa hawa washkaji), Edward akampa jamaa shavu, ngoja tuone itakavyolipa.

Next move ilikuwa ni kumtafuta Kocha. Edward wanted Alonso, Alonso akachomoa deal akaamua kubali Leverkusen kwa msimu ujao. Naona mambo mawili kwa Alonso kwa nini alikataa deal
1. Bado anaona hajawa tayari kwa deals kubwa, pressure kwa Leverkusen itakua ndogo kutokana na udogo wao kimafankio, hivyo atamudu na kuiongoza Leverkusen kwenye CL league yenye new format.

2. Anataka kuprove watu wrong kwamba kabahatisha na moments kama hizi hutokea nadra sana.

3. Anategea deal la kwenda Madrid baada ya Don Carlo kuondoka. Anaipenda Madrid over Liverpool, Spanish guy, amecheza pale kwa mafanikio, amekuwa kocha wa U18 pale, anamafungano na Madrid over LFC

Anyway Edward hakufikiria kuendaelea na deals za Alonso”, akapaa kutoka Ujerumani huyoooooo mpaka Uholanzi akatua pale Feyernood akakutana na kipara mmoja anaitwa ARNE SLOT. Mwamba mwenye mpira wake. Baada ya msimu wa 2022/2023 kukamilika Chelsea na Spurs walienda kuzungumaz na Slot kwa ajili ya kumchukua kama alivyofanya Alonso kwa LFC ndivyo Slot akawafanyia wanaLondon hao.

Tumzungumzie our own BALD, Mr. Arne Slot bwana na sisi LFC tumeona City wanafaidi na kipara wao na siye wacha tukamtafute wa kwetu, kisha tukapiga hesabu tena kuwaonea gere utd na kipara wao tukaona na siye isiwe tabu tukapita nae alipotokea kipara wa utd. Msimu ujao tuna vipara watatu, jiji la Manchester na jiji la Liverpool wawili tumewaona hao kutoka Manchester ila mmoja ngoja kwanza.

Baada ya kupendekezwa kumrithi Klopp Edward jambo la kwanza alipunguza majukumu kwa Slot akamwambia tunakutaka ila utakuwa Coach na sio Manager.
Utofauti wa hapo ni kwamba Coach anahusika na mambo ya ndani ya uwanja tu, training, kupanga line ups baasi, ila manager anafanya haya na anahusika moja kwa moja kwenye kusajili. Its a British traditional. Bwana Edward akaona lets go anti clockwise yaliyotokea kwa Klopp yasitokee kiwepesi.

Hivyo Mfumo ni kwamba Slot atapeleka report zake kwa SD (R. Hughes) Hughes nae atapeleka kwa CEO (Michael Edward) watafanya meetings na kuamua wote ila mwenye maamuzi ya mwisho ni Edward. Mf. Slot ataandika nahitaji beki mwenye sifa hizi na hizi na hizi, nahitaji DM mwenye sifa hizi na hizi na hizi, atazipeleka kwa SD & SD atazipeleka kwa CEO. Hivyo kunakuwa na mgawanyo wa majukumu.

Turudi kwa Slot.

Kwanza ni muumini wa 4-2-3-1 hapa ni double pivot MFs maana yake anacheza na viungo wawili wenye uwezo wa kuka ba na kuchezesha timu, kwa sasa tuna Endo na Macca.

Kwa mimi tukipata Good DM na Endo awe back up (age yake itamlimit) kumtumia Trent kucheza na DM itafanya kazi vizuri sana. Trent ni master kwenye long and killer passer, anatumia Lone ST, anatumia Wing Backs, build up yake inaanzia kwa GK na Central CB’s kama makocha wengi wafanyavyo. Ni muumini wa highline, Energetic Footabll, Pressing game, matumizi ya SPACE and TIME.

Sifa yake moja kubwa ni kujiamini, alipotakiwa na LFC kabla ya official meeting alisema “I WANT THAT JOB, I’M READY”.

Kwa data he is good as Klopp ( not mafanikio) kiuchezaji regardless of results kwanza.

Slot anatumia pure no. 10 hapa tunaweza kuona ubora wa Szobozslai as no. 10, Elliot, Macca and even Elliot.

RW & LW wakati wa kutengeneza mashambulizi huingia ndani pia kuungana na CF kutoa room kwa RB na LB kuingia pembeni kutengeneza mstari wa viungo wa tano. Hapa naona kama mnufaika ni JARELL QUANSAH over Konate (injury and style of play).

Nitandelea kumuongelea Slot, ila tusijipe matarajio makubwa mwisho tukapata magonjwa yanayoepukika. Tumuone kwanza kwenye Pre season na aina ya sajili tutakazofanya.

YNWA
 
TUZUNGUMZIE LIVERPOOL YA MSIMU UJAO.

Kwa ufupi Liverpool imemaliza msimu wake rasmi mafanikio ni sealed UCL spot and Carabao Cup. Haya ni ndani ya uwanja ya nje huko tuachane nayo kwa sasa.

Sasa Liverpool ya msimu ujao itakuwaje bila Klopp na jopo lake?.

Ipo hivi baada ya FSG kumbembeleza sana Klopp abaki na kukataa kata kata, FSG waliona sehemu sahihi ni kurudi kwa Michael Edward, kwa nini? Wanajua uwezo wake kwenye mambo ya mpira (biashara ya mpira yupo vizuri). Wakaona wamtumie yeye kuiunda timu upya maana kuna kuondoka watu wengi sana. Ukiacha upanuzi wa uwanja kumrejesha Edward ni mojawapo ya Furaha FSG wamewahi kunipa.

Sasa basi Edward aliwavimbia mara ya kwanza akijua fika FSG watarudi tena, na kweli FSG walirudi kwa nguvu zote kwa Edward, sasa hivi ilikuwa ni Edward aseme anachotaka ili arejeshwe. Edward hakutaka mambo mengi mpunga mrefu, aliwaambia “I WANT FULL TAKE OVER” yes alitaka awe na mamlaka na sio nusu nusu kama alivykuwa kwa Klopp. FSG agreed the deal maana walikuwa wahitaji kuliko Edward. Edward ana kampuni yake ya data (ulaya ukibobea kwenye data analysis unaula tu). Hivyo hakutetereshwa na deal la FSG, tupambane tuondokane na NJAA kama Edward ili upate heshima. Imagine FSG mabosi wanapiga magoti kwa bwana mdogo Edward. Funny.

Anyway twende mbele, jambo la kwanza Edward alimchagua Richard Hughes as Sporting director ( jamaa hawa washkaji), Edward akampa jamaa shavu, ngoja tuone itakavyolipa.

Next move ilikuwa ni kumtafuta Kocha. Edward wanted Alonso, Alonso akachomoa deal akaamua kubali Leverkusen kwa msimu ujao. Naona mambo mawili kwa Alonso kwa nini alikataa deal
1. Bado anaona hajawa tayari kwa deals kubwa, pressure kwa Leverkusen itakua ndogo kutokana na udogo wao kimafankio, hivyo atamudu na kuiongoza Leverkusen kwenye CL league yenye new format.

2. Anataka kuprove watu wrong kwamba kabahatisha na moments kama hizi hutokea nadra sana.

3. Anategea deal la kwenda Madrid baada ya Don Carlo kuondoka. Anaipenda Madrid over Liverpool, Spanish guy, amecheza pale kwa mafanikio, amekuwa kocha wa U18 pale, anamafungano na Madrid over LFC

Anyway Edward hakufikiria kuendaelea na deals za Alonso”, akapaa kutoka Ujerumani huyoooooo mpaka Uholanzi akatua pale Feyernood akakutana na kipara mmoja anaitwa ARNE SLOT. Mwamba mwenye mpira wake. Baada ya msimu wa 2022/2023 kukamilika Chelsea na Spurs walienda kuzungumaz na Slot kwa ajili ya kumchukua kama alivyofanya Alonso kwa LFC ndivyo Slot akawafanyia wanaLondon hao.

Tumzungumzie our own BALD, Mr. Arne Slot bwana na sisi LFC tumeona City wanafaidi na kipara wao na siye wacha tukamtafute wa kwetu, kisha tukapiga hesabu tena kuwaonea gere utd na kipara wao tukaona na siye isiwe tabu tukapita nae alipotokea kipara wa utd. Msimu ujao tuna vipara watatu, jiji la Manchester na jiji la Liverpool wawili tumewaona hao kutoka Manchester ila mmoja ngoja kwanza.

Baada ya kupendekezwa kumrithi Klopp Edward jambo la kwanza alipunguza majukumu kwa Slot akamwambia tunakutaka ila utakuwa Coach na sio Manager.
Utofauti wa hapo ni kwamba Coach anahusika na mambo ya ndani ya uwanja tu, training, kupanga line ups baasi, ila manager anafanya haya na anahusika moja kwa moja kwenye kusajili. Its a British traditional. Bwana Edward akaona lets go anti clockwise yaliyotokea kwa Klopp yasitokee kiwepesi.

Hivyo Mfumo ni kwamba Slot atapeleka report zake kwa SD (R. Hughes) Hughes nae atapeleka kwa CEO (Michael Edward) watafanya meetings na kuamua wote ila mwenye maamuzi ya mwisho ni Edward. Mf. Slot ataandika nahitaji beki mwenye sifa hizi na hizi na hizi, nahitaji DM mwenye sifa hizi na hizi na hizi, atazipeleka kwa SD & SD atazipeleka kwa CEO. Hivyo kunakuwa na mgawanyo wa majukumu.

Turudi kwa Slot.

Kwanza ni muumini wa 4-2-3-1 hapa ni double pivot MFs maana yake anacheza na viungo wawili wenye uwezo wa kuka ba na kuchezesha timu, kwa sasa tuna Endo na Macca.

Kwa mimi tukipata Good DM na Endo awe back up (age yake itamlimit) kumtumia Trent kucheza na DM itafanya kazi vizuri sana. Trent ni master kwenye long and killer passer, anatumia Lone ST, anatumia Wing Backs, build up yake inaanzia kwa GK na Central CB’s kama makocha wengi wafanyavyo. Ni muumini wa highline, Energetic Footabll, Pressing game, matumizi ya SPACE and TIME.

Sifa yake moja kubwa ni kujiamini, alipotakiwa na LFC kabla ya official meeting alisema “I WANT THAT JOB, I’M READY”.

Kwa data he is good as Klopp ( not mafanikio) kiuchezaji regardless of results kwanza.

Slot anatumia pure no. 10 hapa tunaweza kuona ubora wa Szobozslai as no. 10, Elliot, Macca and even Elliot.

RW & LW wakati wa kutengeneza mashambulizi huingia ndani pia kuungana na CF kutoa room kwa RB na LB kuingia pembeni kutengeneza mstari wa viungo wa tano. Hapa naona kama mnufaika ni JARELL QUANSAH over Konate (injury and style of play).

Nitandelea kumuongelea Slot, ila tusijipe matarajio makubwa mwisho tukapata magonjwa yanayoepukika. Tumuone kwanza kwenye Pre season na aina ya sajili tutakazofanya.

YNWA
 
Wadada na mpira wapi na wapi? Wao wanafataga mkumbo tu
Dah kweli aisee wanafuata mkumbo eti Salah huyu wa moto hivi anamjua Salah vizuri miaka 5 iliyopita combo Yao mane firmino salah kwenye hii dunia tukisema Salah ameisha tunamaanisha 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom