mluga
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 676
- 215
Mboga za Iringa mbaya sana, wewe badala ya kula utakuwa unavuta moshi wake, kwa hiyo Maximo wako na kina Ivo walikuwa hawafungwi.
Mkuu hiyo mboga siijui, ndo mboga yako nini? maana wanasema asimuliaye mvua ujue imenyeshea