Mchezaji | Tukio |
---|---|
J. Kaseja | |
E. Nyoni | Goli dk 84 |
K. Yondani | |
A. Maftah | |
S. Kapombe | Goli dk.60 |
M. Ngassa | |
S. Nditi | |
H. Moshi | katoka kaingia Boko |
M. Kazimoto | |
M. Samata | |
F. Domayo | |
Kocha: K. Poulsen |
Mchezaji | Tukio |
---|---|
C. Allen | |
K. Ceesay | |
A. Jammeh | Njano dk.36 |
O. Koli | |
M. Danso | |
P. Jagne | |
P. Kujabi | |
S. Gassama | |
M. Saine | |
M. Jarju | |
M. Ceesay | goli dk. ya 7, katoka, kaingia Sowe |
Kocha: L. Mancini |
Mchezaji | Tukio |
---|---|
A. Mwadini | |
D. Munishi | |
E. Christopher | |
J. Bocco | kaingia badala ya Moshi |
J. Mkude | |
J. Nyoso | |
N. Bakari | |
R. Singano | |
S. Abubakar | |
S. Msuva | |
T. Ulimwengu |
Mchezaji | Tukio |
---|---|
A. Sowe | Kaingia badala ya Ceesay |
B. Sanyang | |
D. Savage | |
L. Samateh | |
S. Faal | |
S. Marreh |
Msimbazi utawajua tu!Mkuu Masuke, vipi hali ya uwanja na jiji kwa ujumla? Kama kuna kijimvua basi tutashinda mkuu! lakini ni kavu kavu tumeliwa.
Hahaha! mi kambi nyingine mkuu! msimbazi ndo mambo yao!Msimbazi utawajua tu!
Tanzania sijui ni lini itaachwa kuitwa ''Kichwa cha Wenda Wazimu''. ni kuabishana tu huku.
Tatizo mnataka mafnikio bila kurudi kwenye drawing board! juzi juzi tulirudi kwenye hiyo stage lakini sijui tumeishia wapi! Huwezi kucheza mpira wa miguu siku hizi na bangi kichwani, hirizi bila mazoezi na maandalizi ya kutosha. Watu wanaokimbia umande ndiyo wacheza zoka bongo!! Tutaendelea kulalamika kama vyura wa masika!Mi nimechoka hata kufuatilia mpira wa kibongo yaani unaboa sana bora kupenda taarabu kuliko soka la bongo, inauma sana aiseeee.
Acha tufungwe hatuna team, tuna watu wanaojua kuharibu dada zetu!!Dak 41, bado wageni wanaongoza.
Aya bana!Hahaha! mi kambi nyingine mkuu! msimbazi ndo mambo yao!
Mboga za Iringa mbaya sana, wewe badala ya kula utakuwa unavuta moshi wake, kwa hiyo Maximo wako na kina Ivo walikuwa hawafungwi.Si tulifurahia kuondoka kwa Maximo, tusiseme mengi tusubili kipenga cha mwisho. Ila sasa ndo mtajua ni kwa nini alikuwa hamtaki Kaseja
Half time: Tz 0-1 Gambia.