Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Tunashukuru sana.
Tuko pamoja. Natangaza kuyapokea maamuzi ya mahakama kwa moyo mkunjufu.
Kama tu maamuzi yatakuwa ya haki!
Tunashukuru sana.
Tuko pamoja. Natangaza kuyapokea maamuzi ya mahakama kwa moyo mkunjufu.
Mdau si kesi hatua ya leo ni hukumu dhidi ya rufaa, weka vzr heading yako
Leo ndio maamuzi ya rufaa yanafanyika...so either uchaguzi urudiwe au Lema arejeshewe ubunge...Ndio hukumu yenyewe
Tunashukuru kwa update mahakama itatenda haki tuheshimu maamuzi yoyote.
Yaani huyo kilaza ni system, umeniacha hoi.Unajua Ritz huwa unanifurahisha sana na comments zako, vp wenzetu nyie wa System huenda mnafahamu maamuzi ya mahakama yatakayo tolewa leo.....hahaaaaa
asante Mamuya karibu jf kakaKesi ndo inaanza sasa hiv na majaji wameshaingia
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums