leteni mambo wakubwa mi huku kapamisya kyela hakuna umeme jf ndo mkombozi wetu sisi walima mpunga tuiopo huku mashambani
Job; Nini kimetokea bungeni, kwa nini bunge limekuwa na vurugu kwa kipindi hiki... jibu, kuna wabunge wengi wapya ambao bado hawazijui, kanuni za bunge.
Dah! Kuna mtu alileta
thread ya kumlalamikia huyu dada mapozi yake, nilijua ni chuki tu, leo
nimeelewa alikuwa anamanisha nini, maana dada full kufumba fumba macho
mbele ya TV, mara kafumbua nusu.
Ninakoma kumwangalia, kutoa sitoi, badala ya kufatilia mjadala mi
namwangalia yeye tu, after all siasa zipo tu.
Hili Sio jibu yeye na kiti chake ndo tatizo!
Vipi mjadala unaendeleaje
Update; Job anasema kinachofanyika bungeni ni usanii mtupu, na kwa, maoni yake ji kuwepo kwa kamera ndani ya bunge ndo maana wabunge wanafanya usanii... vielelezo ni kwamba katika kamati ndogondogo hawafanui vurugu kwa vile kule hamna kamera.
we unaskiliza mjadala au unaangalia watu,toa upuuzi wako hapa.