Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Habari za JUMAPILI Wadau
Karibuni kwa mjadala upo hewani kwa sasa
Karibuni kwa mjadala upo hewani kwa sasa
Serikali iliyopo iliingia madarakani kwa kutumia mtandao, yaani kikundi fulani kilipanga kumuingiza kiongozi waliomtaka madarakani! Watu hawa hawakuwa na ajenda yoyote wala mpango wowote wa kuleta maendeleo.
Kwa mtindo huu hakutakuwa na bajeti itakayopangwa na serikali hii itakayo toa kipaumbele kwenye maendeleo. Na mwishowe hata kujiendesha kama serikali itakwama.
Star TV tunaomba mtujibu kwa nini hamrushi matangao ya moja kwa moja mkutano huu wa bunge kama ilivyokuwa kawaida yenu ????? !!!!!!
kwani mnajua wazi kua kituo chenu kina sikika nchi nzima tofauti na vituo vingine kwa nini mumeamua kutufanyia hivyo watanzania wenzenu ??????