Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,976
- 10,466
ndio manaake,wewe ulitaka nani awe,Makambna anakipenda chama ..mapenzi yake yote yako katika chama,unajua kwanini makamba alisema I lvoe CCm?anajua uwezo wake kichwani ni mdogo na akimwaga na chama hana pa kukimbilia,kwa kifupi ni kilaza
..viongozi wa nmana hii ndio maana tunaendela kuwa masikini
Kwi kwi kwi
Nakupata mkombozi, kweli sisiemu haimtupi mtu.
Tupo pamoja!