Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Huenda kuna mengi yamefichika kwa huyu mwanadada mahiri, tusubiri tu. Aliyeomba kura na kusema hajazunguka mikoani hajapita. Tazama matokeo ktk uk wa 34 wa thread hii.
yapi yamefichika?inaonekana una habari..lete info