Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #101
Pia baada ya kupiga kura nimeenda kazini kwangu, ambako pia kuna kituo, jambo la kushangaza ni kuwa kituoni hapo mabox yote ni ya rangi nyeupe(mifuniko), na sijui discrepancy hiyo inaelezwaje!(sijanote utofautishaji wowote), na nilipouliza wakasema kuwa yameletwa yakiwa hivyohivyo, huenda ndio ukosefu wa vifaa wenyewe..nahofia sana kura hizo kuharibika, maana zitachukuliwa kuwa zote ni za Mbunge, kumbe zingine ni za Rais!
Hii hatari sana. lakini nadhani wanaweza wakayaandika na marker pens. Zanzibar nimeona masanduku yameandikwa.