PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Haaa haaa, sikuinote hiyo. Nadhani ni ofisi ya Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa. Sijajua kama bendera ya CCM ni sawa kuwa hapo.
Ofisi ya serikali ya mtaa ni ofisi ya SERIKALI parsee, haitakiwi kuwa na bendera ya chama fulani, zaidi ya ile ya Taifa....Hapo ni makosa ya kimsingi(kama kweli ni bendera ya ccm), na inatakiwa ikaondolewe haraka kabla haijaathiri watu wengi zaidi...Hata kama hiyo ni ofisi ya ccm, kwa leo inatumika kwa tukio la kitaifa ambalo ni la neutral ground.