List of top universities & colleges in Tanzania 2011

Hivi Watanzania ni nani aliyeturoga? Kwenye hiyo link ya www.4icu.org UDSM iko nafasi ya 15 na Hubert Kairuki Memorial University iko nafasi ya 48 hebu linganisha na hii orodha yako, tutaendelea na uchakachuaji hata lini?

Nionavyo mimi huu siyo wakati wa kutambiana ni chuo gani bora kuliko kingine. Tukubali kwamba vyuo vyote vimeidhinishwa kutoa elimu ya juu baada ya kukamilisha vigezo vinavyotakiwa. Sasa graduates wote tuungane kila mtu kwa fani yake kuleta maendeleo katika nchi yetu. Nchi iko taabani kiuchumi huku wasomi wakibishana chuo gani ni bora na chuo gani si lolote. Tunahitaji digrii zetu zichangie katika kuondoa umaskini hapa nchini. Tumia kila mbinu kuhakikisha digrii yako inachangia maendeleo na siyo kukaa tu ukijisifu umesoma chuo bora huku huoneshi tofauti na mtu hata aliyeishia darasa la saba, inawezekana yeye akakuzidi kwa sababu alifundishwa kupanda mazao shambani kwa mstari na sasa elimu hiyo anaitumia kuongeza tija katika kilimo. Je wewe hiyo digrii yako unaitumiaje? Inawezekana una digrii ya kilimo lakini hutaki kwenda kijijini kuwsaidia wakulima eti kwa kuwa wewe ni msomi! Tubadilike jamani.
 
Tuache ushabiki kwa kuangalia tumesomea/tungesomea/tutasomea wapi <br />
najua mtakubaliana na mimi kwamba UDOM Inapaswa iwe ya kwanza,UDSM Ya 2 n.k. kwa mnaosomea pale na ambao mnapafahamu UDOM hamnashaka mtakubariana na mm kwamba ukilinganisha ukubwa wa chuo kuanza na<br />
1.wingi na thaman ya majengo<br />
2.idadi na ubora wa wanafunzi wanaoingia na kuitimu<br />
3.idadi na ubora <br />
wa waadhiri <br />
4.opportunities za degree course kwa kila college<br />
5 just to mention but a few<br />
hii nisawa nakuunganisha vyuo vyote vilivyo baki ukiondoa au kuiunganisha UDSM.
<br />
<br />
we mwenyemwe umesimamia ushabiki tu.
Kuna nini huko? Au ubora unaouzungumzia ni degree ya bila vitendo?
 
Hapo kwenye ubora wa wanafunzi cjakuelewa,na malecturer pia!!!usiongelee kwa kuwa unasoma huko!
 
Jamani mbona mnakua mabogus UDOM mnakiweka top ten wakati wanaproduce w2 wcowahi kwenda hata field? hao ni wataalamu wa namna gani wanazalishwa nao kujisifia jamani? Think logically then give ur ideas 2 great thinker please. Angalia manurse wanaozalishwa UDOM ni &quot;PLACEBOS&quot;. Vyuo vikuu vilivyoko chini y sauti vyote wanaingia top ten ikiwemo mwenge university.
<br />
<br />
udom kwan nacho chuo kikuu. Kwa tetes nilizonazo ukikosa udom haupat chuo chochote Tanzania. Nasikia huwa hawabakiz wanafunz wao kwakuwa wanafahamu ni vihiyo.
 
Tuache ushabiki kwa kuangalia tumesomea/tungesomea/tutasomea wapi <br />
najua mtakubaliana na mimi kwamba UDOM Inapaswa iwe ya kwanza,UDSM Ya 2 n.k. kwa mnaosomea pale na ambao mnapafahamu UDOM hamnashaka mtakubariana na mm kwamba ukilinganisha ukubwa wa chuo kuanza na<br />
1.wingi na thaman ya majengo<br />
2.idadi na ubora wa wanafunzi wanaoingia na kuitimu<br />
3.idadi na ubora <br />
wa waadhiri <br />
4.opportunities za degree course kwa kila college<br />
5 just to mention but a few<br />
hii nisawa nakuunganisha vyuo vyote vilivyo baki ukiondoa au kuiunganisha UDSM.
<br />
<br />
ningekuwa nasoma Udom nisingediriki kutangaza ingekuwa siri na familia yangu. Nilipata habar kuwa kuna gazeti lilitangaza nafas za kaz, ila kigezo kimojawapo usitoke Udom. Udom hata number ya mwsho nitakuwa nimekipendelea sana.
 
mbona ardhi university haiguswi hapa? Ipo mahali pake au wamechakachua?
NOTE:ni university pekee tz na A.mashariki inayotoa course za kipekee pekee(huwezi kuzikuta pengine popote,fuatilia uone)
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ningekuwa nasoma Udom nisingediriki kutangaza ingekuwa siri na familia yangu. Nilipata habar kuwa kuna gazeti lilitangaza nafas za kaz, ila kigezo kimojawapo usitoke Udom. Udom hata number ya mwsho nitakuwa nimekipendelea sana.
<br />
<br />
Masaburi utamjua kwa maneno yake.
 
Tuache ushabiki kwa kuangalia tumesomea/tungesomea/tutasomea wapi
najua mtakubaliana na mimi kwamba UDOM Inapaswa iwe ya kwanza,UDSM Ya 2 n.k. kwa mnaosomea pale na ambao mnapafahamu UDOM hamnashaka mtakubariana na mm kwamba ukilinganisha ukubwa wa chuo kuanza na
1.wingi na thaman ya majengo
2.idadi na ubora wa wanafunzi wanaoingia na kuitimu
3.idadi na ubora
wa waadhiri
4.opportunities za degree course kwa kila college
5 just to mention but a few
hii nisawa nakuunganisha vyuo vyote vilivyo baki ukiondoa au kuiunganisha UDSM.
Ww ni chai kabisa UDOM haiko recognized hata kidogo, unaonekana una maziwa ya mgando kwenye ubongo weye. Waulize wanaotaka kusoma CPA wale wa BCom UDOM wanaanza levo gani NBAA halafu uje utuletee hapa takataka hiyo, Mtoto wangu bora asome CBE kuliko hiyo kitu ndugu yangu.
 
Ushabiki umejaa kwenye hii thread,ILA BADO SIJAPATA KUONA PRODUCT YAANI BIDHAA (LABDA MADESA )NA KANUNI AMBAYO IMEBUNIWA NA INATUMIKA MFANO KWENYE MATHS,PHYSICS,CHEMISTRY,BIOLOGOS,ECONOMICS,HISTORY,CIVIC ED, NK.IKIWA IMETOKA AU KUGUNDULIWA NA VYUO VYA TZ.Mwenye data atujurishe wanajanvi.
 
[no research no right to speak sawa mkuuQUOTE=Jilanga;1731949]The list of top universities & colleges in Tanzania Ranking
1. University of Dar es salaam.
2. Sokoine university of Agriculture.
3. University of Dodoma.
4. Ardhi university
5. Mzumbe university
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
15.
16. St. Augustine university of Tanzania!
Source 4icu!
Hii list iko sawa ama imechakachuliwa? Na kama iko sawa naombeni vigezo vya hiyo ranking![/QUOTE]
 
The Times Higher Learning (THE)Ranking wametoa orodha ya vyuo vikuu bora duniani.... AFRIKA MASHARIKI HAKUNA HATA CHU KIMOJA...! Tutazame upya, pengine chuo fulani ni cha kwanza Tanzania, na kingine ni cha mwisho, lakini TUKO WAPI KIDUNIA?
 
<br />
<br />
udom kwan nacho chuo kikuu. Kwa tetes nilizonazo ukikosa udom haupat chuo chochote Tanzania. Nasikia huwa hawabakiz wanafunz wao kwakuwa wanafahamu ni vihiyo.

mkuu ilikuwaje wewe ukaenda kusoma pale kabla hujadisco na ukaanzisha chuki zako zisizo na tija? Ujinga wako 2ondolee hapa.
 
Back
Top Bottom