List of top universities & colleges in Tanzania 2011

Styl za waendao vyuon,maskini na washamba-SUA,matajir na wenye akil-MZUMBE,wasio na akil na matoz/macstaduu-IFM,wahuni na wasiojiweza kiakil-CBE,upeo mdogo na watoto wa mama-2MAIN,waliokosa vyuo kabisa-RUCO,waliokosa nafac UD Na wanaipenda-UDOM,wasiojali future zao-SAUT,USTAW,MWL NYERERE,MUCOBS,CBE DOM,wenye uwezo ila walifel 4m 6-IAA,Wasiofaham umuhim wa elimu-MIPANGO,ZANZBAR,ST.JON,MORO MUSLIM,wa2 wa sifa zote hapo juu wa kila aina na kila cfa-wa Mzumbe & UD wajanja.

we ndio b.o.g.u.s. kuliko watu wote humu jf.
 
jamani naomba kuwasaidioa naona hapa kila mtu anaanza kuvutia chuo chake.Binafsi nimesomea University of Dar,baadae Moi University-Kenya na sasa nipo tena University of Dar.Kwa sasa university of Dar ndio bora kuliko vyote kwa Tanzania lakini baada ya kama miaka 3 hivi UDOM itaongoza.Pia kwa Afrika mashariki UDSM ni ya kwanza.
Baadhi ya vigezo wanavyotumia ni pamoja na:
1. ubora wa majengo na samani ikiwa ni pamoja na kuangalia kama yanatosheleza
2. idadi ya wanafunzi wanaoingia kwa mwaka
3. number of lecture rooms
4. qualification ya lecturers wanaofanya kazi kwenye university husika(idadi ya maprof, Dr na wengine)
5. average student life (ikiwa ni pamoja na vyakula na upatikanaji wa maji safi)
6. Accomodation kwa wanafunzi (ubora wa vyumba na kama vinatosheleza)
7.Mazingira yanayokizunguka chuo yalivyo
8. Communication within the university
9. Scientific Research zinazofanywa na chuo husika, ikiwa ni pamoja na idadi ya publications.Hapa baadhi ya vyuo vinaanguka kutokana na baadhi ya wahadhiri kuwa wavivu kufanya research na kukalia kula hela tu.Matokea yake ukiangalia reseach zinazofanyika kwa mwaka zinakuwa chache na zinachangia kukiporomosha chuo.
Hivyo ni baadhi tu ya vigezo.Kwa hiyo baada ya UDOM kukamilika itaipiku hii UDSM maana wahadhiri wanaoenda pale ni highly qualified, pia ina majengo mengi na ya kisasa zikiwemo maktaba nyingi kwa kila hostel kuliko UDSM, Pia vyumba ya kufundishia ni vingi na vya kisasa pale UDOM wakati hapa UDSM ni shida mpaka baadhi ya watu wanakosa lecture rooms za kueleweka, accomodation siyo tatizo sana kama hapa UDSM,Mawasiliano ndani ya UDOM ni ya uhakika kuliko hapa, idadi ya wanaoingia UDOM itashinda ya wanaoingia UDSM by far. Hiyo UDOM itakapokamilika itakuwa ni kubwa na nzuri kuliko zote siyo Tanzania tu bali afrka mashariki na kati.
Nawasilisha wakuu.
 
jamani naomba kuwasaidioa naona hapa kila mtu anaanza kuvutia chuo chake.Binafsi nimesomea University of Dar,baadae Moi University-Kenya na sasa nipo tena University of Dar.Kwa sasa university of Dar ndio bora kuliko vyote kwa Tanzania lakini baada ya kama miaka 3 hivi UDOM itaongoza.Pia kwa Afrika mashariki UDSM ni ya kwanza.
Baadhi ya vigezo wanavyotumia ni pamoja na:
1. ubora wa majengo na samani ikiwa ni pamoja na kuangalia kama yanatosheleza
2. idadi ya wanafunzi wanaoingia kwa mwaka
3. number of lecture rooms
4. qualification ya lecturers wanaofanya kazi kwenye university husika(idadi ya maprof, Dr na wengine)
5. average student life (ikiwa ni pamoja na vyakula na upatikanaji wa maji safi)
6. Accomodation kwa wanafunzi (ubora wa vyumba na kama vinatosheleza)
7.Mazingira yanayokizunguka chuo yalivyo
8. Communication within the university
9. Scientific Research zinazofanywa na chuo husika, ikiwa ni pamoja na idadi ya publications.Hapa baadhi ya vyuo vinaanguka kutokana na baadhi ya wahadhiri kuwa wavivu kufanya research na kukalia kula hela tu.Matokea yake ukiangalia reseach zinazofanyika kwa mwaka zinakuwa chache na zinachangia kukiporomosha chuo.
Hivyo ni baadhi tu ya vigezo.Kwa hiyo baada ya UDOM kukamilika itaipiku hii UDSM maana wahadhiri wanaoenda pale ni highly qualified, pia ina majengo mengi na ya kisasa zikiwemo maktaba nyingi kwa kila hostel kuliko UDSM, Pia vyumba ya kufundishia ni vingi na vya kisasa pale UDOM wakati hapa UDSM ni shida mpaka baadhi ya watu wanakosa lecture rooms za kueleweka, accomodation siyo tatizo sana kama hapa UDSM,Mawasiliano ndani ya UDOM ni ya uhakika kuliko hapa, idadi ya wanaoingia UDOM itashinda ya wanaoingia UDSM by far. Hiyo UDOM itakapokamilika itakuwa ni kubwa na nzuri kuliko zote siyo Tanzania tu bali afrka mashariki na kati.
Nawasilisha wakuu.

ni mawazo yako so hatuyapingi.
 
badala ya kubishana si tujiulize tuna chuo ngapi top 100 in africa? east africa?
 
Last edited by a moderator:
Unajua watu wanashindwa kupambanua mambo,angalia kila wanapoweka vyuo bora kwenye internet lazima watakwambia kigezo gani wanatumia.Kwa mfano watasema top 100 universities in africa by web popularity.Kwa hiyo siyo kila mara inamaanisha kiwango cha elimu kinachotolewa ni kizuri.Kwanza hapa Udsm imeshakuwa ya kizamani kila kitu sasa kinachakaa, watu hawafanyi research ili kukisaoidia chuo kupanda juu, wanaangalia tu wapi wapige pesa na jinsi ya kuiba caution money za wanafunzi.Hii UDSM haina facilities nyingi tu na zingine zipo lkn hazitoshelezi
 
Unajua watu wanashindwa kupambanua mambo,angalia kila wanapoweka vyuo bora kwenye internet lazima watakwambia kigezo gani wanatumia.Kwa mfano watasema top 100 universities in africa by web popularity.Kwa hiyo siyo kila mara inamaanisha kiwango cha elimu kinachotolewa ni kizuri.Kwanza hapa Udsm imeshakuwa ya kizamani kila kitu sasa kinachakaa, watu hawafanyi research ili kukisaoidia chuo kupanda juu, wanaangalia tu wapi wapige pesa na jinsi ya kuiba caution money za wanafunzi.Hii UDSM haina facilities nyingi tu na zingine zipo lkn hazitoshelezi

Wenzenu wanarank vyuo kutokana za hivyo vyuo na product zinafanya nini mtaani. Ukijiangalia binafsi wapi upo kimaisha ndio tumia kigezo kurank chuo chako.
 
Hata hiyo mkuu nakubaliana na wewe kuwa ni one of the key factots za kurank vyuo.Wengi wa waliomo humu hawaelewi wanapayuka tu,na wanadhani kuwa UDSM ndiyo kuwa bora.Mbona kuna watu hata pale jijini Mwz ambapo nafanya kazi wamemaliza UDSM ni vilaza kinoma.Jamaa ana masters lakini hajui hata kufanya research.
 
The list of top universities & colleges in Tanzania Ranking
1. University of Dar es salaam.
2. Sokoine university of Agriculture.
3. University of Dodoma.
4. Ardhi university
5. Mzumbe university
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
15.
16. St. Augustine university of Tanzania!
Source 4icu!
Hii list iko sawa ama imechakachuliwa? Na kama iko sawa naombeni vigezo vya hiyo ranking!

4icu ranking ambayo ipo kwa sasa ni hii
1 University of Dar es Salaam
2 The Hubert Kairuki Memorial University
3 Sokoine University of Agriculture
4 The University of Dodoma
5 Mzumbe University
6 Ardhi University
7 International Medical and Technological University
8 Mount Meru University
9 St Augustine University of Tanzania
10 St. John's University of Tanzania
11 Muhimbili University of Health and Allied Sciences
12 The State University of Zanzibar
13 Tumaini University
14 Teofilo Kisanji University
15 University of Arusha
16 Muslim University of Morogoro

Top Colleges & Universities in Tanzania | University Web Rankings
 
4icu ranking ambayo ipo kwa sasa ni hii
1 University of Dar es Salaam
2 The Hubert Kairuki Memorial University
3 Sokoine University of Agriculture
4 The University of Dodoma
5 Mzumbe University
6 Ardhi University
7 International Medical and Technological University
8 Mount Meru University
9 St Augustine University of Tanzania
10 St. John's University of Tanzania
11 Muhimbili University of Health and Allied Sciences
12 The State University of Zanzibar
13 Tumaini University
14 Teofilo Kisanji University
15 University of Arusha
16 Muslim University of Morogoro

Top Colleges & Universities in Tanzania | University Web Rankings

hyo namba 4 wamechakachua.
 
The Hubert Kairuki Memorial University kimeibuka kwa speed kubwa. Kimepita mpaka Mzumbe?
4icu ranking ambayo ipo kwa sasa ni hii
1 University of Dar es Salaam
2 The Hubert Kairuki Memorial University
3 Sokoine University of Agriculture
4 The University of Dodoma
5 Mzumbe University
6 Ardhi University
7 International Medical and Technological University
8 Mount Meru University
9 St Augustine University of Tanzania
10 St. John's University of Tanzania
11 Muhimbili University of Health and Allied Sciences
12 The State University of Zanzibar
13 Tumaini University
14 Teofilo Kisanji University
15 University of Arusha
16 Muslim University of Morogoro

Top Colleges & Universities in Tanzania | University Web Rankings
 
UDOM,sasa wenzako wataalam wameiweka,tena sio watanzania ni international org sasa we mjinga utafanyaje
Mimi naona watanzania wengi tumebaki kubishania ubora wa chuo,badala ya kuchunguza mambo tunayoyafanya ili kukomboa na kuibadilisha jamii yetu ya kitanzania .wacha wasiojiweza na kujiamini watambe na kuamini tafiti zisizo na ukweli ndani yake ya kurank vyuo.UDISM mtabaki tu kutamka mtaani kwamba unasoma UDISM. lakini ukimaliza chuo na kuanza kutafuta ajira ndo utajua vizuri chuo kizuri Tanzania ni kipi.thesis zenyewe mnafanya za makundi yaani hakuna chochote kipya kazi kutamba tu internet.Waulizeni wenzenu walioko mitaani mtapata somo UDISM ilikuwa enzi zileeeeee ambayo pia imetuzalishia viongozi matapeli.sasa kazi kwenu mnaotamba na majina ya uzee/ukongwe wa chuo badala ya products zinazotolewa.SAUT TUNALIJENGA JIJI LA MUNGU KWA UFANISI WA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KIJAMII KUPITIA UCHUNGUZI WENYE NIA MADHUBUTI PAMOJA NA UFANISI WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA.
 
MBONA MzUMBESEC,ILBORU,KIBAHA, TABORABOYS,TOSAMAGANGA,MBONA SIZIONI KATIKA HIYO RANK YA VYUO VIKUU
 
nimegundua wachangiaji wengi awana elimu humu ndo mana yanawatoka tuu...mtu ujauliza au kujua ni vigezo gan wametumia we unaropoka tu..think big kutumia kigezo cha kutojulikana wala kuonekana isiwe sababu ya kujidhalilisha kwa kuongea utumbo
 
Back
Top Bottom