Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,891
- 6,902
Nimecheka sana mkuu siasa hizi.
Ninachojadili kama mada niliyoleta ni kwamba Lowasa hakuwamo katika list ile ya Mwembeyanga.
Pia Lowasa alipojiuzuru uwaziri Mkuu Viongozi wa chadema walishawahi kusema katika moja ya mikutano yao wapo tayari kumsafisha Lowasa kwa tuhuma za Richmond angegeukia kwao, unakumbuka hilo? Kama walimweka katika list ile wangemsafishaje yakhe?