Mwana Mnyonge
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 518
- 448
sifa za shibuda
1.mnafiki
2.mbaguzi
3.fisadi
4.mchochezia
5.mwenye tamaa
6,hana msimamo
7
8
9
10
1.mnafiki
2.mbaguzi
3.fisadi
4.mchochezia
5.mwenye tamaa
6,hana msimamo
7
8
9
10
Shibuda, yaani sijawahi kuona msukuma mwenye tabia za watu wa Lamu, Shibuda ni wa kwanza.
I hate your comments another crapChadema kila mmoja komando. Wanapigana wao kwa wao. Waambie nguvu zao waziweke uzeeni
Uroho wa madaraka ndo unamsumbua alihamia CHADEMA ili apate Ubunge baada ya kuangushwa vibaya na CCM sasa anaona Magambani kwake ni kuzuri anatamani kurudi wajameni kha!! Vyeo hivi balaa tupu
Kwa hiyo ametumwa na wapiga kura wake kwenda bungeni kutetea wabunge waongezewe posho kufikia laki tano kwa siku?! haya ni matusi kwa wapiga kura ambao wanahangaika huku na huko kupata mlo mmoja wa siku.
cdm kuchukua nchi ni ndoto ya alinacha, sioni walichonacho kipya zaidi ya kutaka baadhi ya watu wawe na sauti zaidi ya wengine, kwa nini kila mtu anaehoji cdm anagombana na mbowe?mbowe hutakiwi kuwa rais pole kaka
Chadema mnapaswa kuonyesha njia ya jinsi ya kutoa maamuzi magumu... Kusema kwamba kukubali posho ni msimamo wake kibinafsi ni sawa, lakini cha kujiuliza yale maneno yake ya kushambulia chama na viongozi wake ni msimamo wake pia? fukuzeni shibuda, tunasema fukezeni. Tangazeni jimbo kuwa wazi, na jipangeni kwa uchaguzi mdogo. Ni afadhali jimbo lichukuliwe hata na shetani kuliko msaliti ndani ya kambi.
.
CHADEMA wathibitishe nini tena hapo, Mnyika alishasema hela ya posho inaenda moja kwa moja kwenye akaunti zao, na hakuna aliye cash the posho na kurudisha. Sasa Lissu na CHADEMA watuambie, utasemaje sera ya chama ni kupinga posho, na asiyepinga tunamfukuza chama, halafu unapewa posho unakula?Leo asubuhi Mh. magdalena Sakaya kasema kimsingi wabunge wote pamoja na wa CDM wameisha chukua hiyo posho in advance wanacho fanya ni ku-sign karatasi tuu, tunaomba muongozo wa waheshimiwa wabunge wa CDM je, ni kweli?
Choo cha kike!huyo ni mnafki tu hana llolote, afukuzwe kabisa huyo, simpend kama nn cjui
Sio wamzingue ila awazingueSHIBUDA mzinguaji sana, mambo yake ya ujinga, ngoja wamzingue!
CHADEMA wathibitishe nini tena hapo, Mnyika alishasema hela ya posho inaenda moja kwa moja kwenye akaunti zao, na hakuna aliye cash the posho na kurudisha. Sasa Lissu na CHADEMA watuambie, utasemaje sera ya chama ni kupinga posho, na asiyepinga tunamfukuza chama, halafu unapewa posho unakula?
Sio shibuda tu almost viongoz wote wa cdmkwa kweli inauma sana tunapojinyima kuwachangia watu kama huyu mjinga shibunda pesa za kampeni kmbe yupo kwa ajili ya tumbo lake si kwa ajili ya wananchi
Hujui siasa wewe, Shibuda hakuhoji CDM, alipingana na msimamo wa pamoja wa kambi nzima ya upinzani. Kama hawezi kushikamana na wenzake inatakiwa aonyeshwe mlango wa kutokea, aende huko anakutetea. Siasa siyo lazima aifanyie CDM aende hata CCJ kwa akina Nape!