Wazee wa propaganda na ku spin katika ubora wao.
Mahesabu yao tangu walipopoteza credibility ya kuaminiwa na wengi 2015 waligeukia kwenye propaganda za “social media”. Hazikuwasaidia kitu Kwani 2020 walitupwa kule, tundu akabaki katoa jicho tu. Hakuna cha support ya wananchi ikabidi waanze kufoji picha nyingine za kampeni ya Lowasa ya 2015 kuonyesha ana watu wengi.
Kwa kweli ni ukweli mchungu, kiongozi mkuu ni "ceremonial figure" tu.
 
WanaCCM wenzangu,
Hoja aina hii siyo za kukurupukia maana mtu kama Lissu lazima atakuwa na mvujisha taarifa kutoka pakachani.

Naona watu wanajibu kwa kebehi
Kuna jambo halipo sawa and yet we joke about it.

I can sense indoor plumbing
Wewe siyo mwanaCCM. Acha shoboko.
 
jameni si mlisema Majaliwa ni team Magu, na ni lazima atashughulikiwa na mama!

nguvu ya kumshinda chief hangaya kaitoa wapi?

hivi mnajua nguvu ya chief hangaya kikatiba?

mnajua kwa mujibu wa katiba, chief hangaya anaweza kukataa ushauri kutoka kwa yeyote!

mbona mnaamini hizi cheap politics

oooh sawa kumbe ni nyumbu!!!
Kwa kweli ni ukweli mchungu, kiongozi mkuu ni "ceremonial figure" tu.
 
LISSU anatakiwa mambo mengine akae Kimya yanamshushia credibility, nchi inajulikana anayeongoza ni nani hata Majaliwa hana ubavu huo! Na take over ilifanyika tokea mwezi March 13 ,2021 … LISSU ajichunge sana na Rwehumbiza atamuingiza Chaka kwa baadhi ya Taarifa
Britanicca hapo cha kudhangaza ni kipi? Labda kosa la Lissu ni kutumia lugha ngumu kwa kuusema ukweli kama ulovyo. Lakini si Lissu tu watu wengi viongozi wakubwa na wadogo wamsema ukweli huu. Lugha yao ya isiyo kali wanayotumia ni " Mama anashauriwa vibaya" Hii ni Lugha ya staha tu na kuficha makali ya maneno ila nayo inaukweli huo huo.

Rais anaweza kushauriwa vibaya na yeye akakubali?? Shituka mkuu.
 
WanaCCM wenzangu,
Hoja aina hii siyo za kukurupukia maana mtu kama Lissu lazima atakuwa na mvujisha taarifa kutoka pakachani.

Naona watu wanajibu kwa kebehi
Kuna jambo halipo sawa and yet we joke about it.

I can sense indoor plumbing
Kama mlivyojibu wakati Jiwe anaumwa😅😅
 
Whatever it takes...

Makosa makubwa kabisa yalifanyika 2015 itachukua muda sana nchi kupona kwa iliyoyapata ni muda tu ndio utakua muamuzi..

It will take time hadi watu wa regime ile wabaki walau theluthi moja ndio tunaweza kuanza upya!
sahihi
 
Wazee wa propaganda na ku spin katika ubora wao.
Mahesabu yao tangu walipopoteza credibility ya kuaminiwa na wengi 2015 waligeukia kwenye propaganda za “social media”. Hazikuwasaidia kitu Kwani 2020 walitupwa kule, tundu akabaki katoa jicho tu. Hakuna cha support ya wananchi ikabidi waanze kufoji picha nyingine za kampeni ya Lowasa ya 2015 kuonyesha ana watu wengi.
Utopolo fc
 
Hujaelewa wewe na Lissu huyu anashauriwa na kikuboy...

Kwasasa anajenga jina na umaarufu ndomana anashiriki masherehe,anapunguza matozo,ataongeza mishahara,atatoa ajira nk. kusudi apendwe nawatu kufikia 2025 apite kirahisi.

Baadae miaka mitano yamwisho ndiyo ya kujengajenga kuacha legacy maana hugombei tena
Kwa sasa nitakuwa pamoja nawe hadi nione vinginevyo.

Sijaona jambo la kunishawishi niamini yasemwayo hapa. Naona nadharia tu!
 
Kila siku nawaambia TL hana quality za kuwa Rais hata kidogo....taarifa za JF ndio taarifa alizonazo kifupi he is not well informed, nakumbuka issue ya mlinzi wa Marehemu JPM tena mbele ya international media anaongea tango poli....kipindi cha kampenin ametema waste nyingi sana binafsi nilimdharau sana..

inanikumbusha Dr Slaa vs Riz na madawa China, Bomba la gas Mt to Dubai chini ya bahari eti gas inaibiwa nilicheka sana na kumuona Dr kituko kabisa aisee...dah hawa ndio wanasiasa wanaotaka tuingie barabarani....ZZK anaweza kuwa mwanasiasa mzuri kuliko mwanasiasa yeyote interm of IQ nk...
Mbona unatema mate tu hapa! Rejea kwenye hoja! Mama anaongiza au anaongizwa!!?🚮🚮
 
Huyu tulimuonya mapema kwamba atimue sukuma gang wote akawaacha tu

Ndo maana kulikua na ccm ya watu wa mkapa, ccm ya kikwete, na magufuli akaja na ccm yake akatengeneza team yake akachukua hadi watu kutoka upinzani wakampa nguvu km watu wake....tatzo la mama hana team...hajatengeneza genge lake


Alionywa mapema asiendekeze lile genge la magu maana offcourse samia na majaliwa zilikua haziivi, walikua hata salam hawapeani but akamwaacha tu huyu mama alikosea angetengeneza serikali yake na watu wake anyofoe genge lote asuke kitu kipya na ndani ya chama awadhoofishe watu wanaohatarisha ushawish wake but aliwaacha tu

Sasa unavuna unachopanda tulikuonya juu ya wanaokuzunguka ukatuona hatuna akili hangaya hao wanakuangusha...

Huyu mama siku 100 alifanya makubwa lakini ghafla kabadilika jambo ambalo sio la kawaida kuna kitu hakipo sawa wakuu.....................kuna jambo limestuck mahali............haiwezekani samia wa siku 100 awe tofauti na wa sasa wawe tofauti wa asilimia 100 big no!
Ninachojiuliza, kwa uchumi upi Mama atakaotumia mwakani kuongeza Watumishi Mishahara!!? Au ndiyo danganya toto!! Yaaani mambo ni mengi sana!
 
Uchifu aliosimikwa juzi unatosha.

Bahati nzuri wenyewe hauna mizengwe yote hii.

'Maza Mizinguo' toka mwanzo alionyesha kuwa na 'low expectation' juu ya nafasi yake hii mpya ya urahisi!
Remember, she became a President by accident! Tusitegemee jipya toka kwa huyu Mam zaidi ya tozo za paa za nyumba, plaster, lenta n.k🚮
 
Baada ya UVIKO mapato ya utalii yameshuka sana....less than 600b per fiscal year.....

Rais anataka UVIKO ikifikia mwisho ,WATALII WAONGEZEKE MNO.....

Kuna changamoto ya WATALII KUISHI nchini siku chache mno(liko kabla ya Uviko)....Rais ameamua TWENDE NA MATANGANGAZO YA KUHUSISHA UTALII WA KITAMADUNI...

Dr.Stergomena Tax ameshauri sana katika eneo hilo.....

#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza
Unadhani approach anayotumia ya "Royal tour" itatoa majibu ya mkwamo katika utalii! Mimi nadhani Watalii hawatavutiwa na hili bali hali ya Kisiasa ikikaa vyema kukawa na utengamano wa jamii nzima ya Watanzania na kila mmoja akaisema vyema nchi yetu, watalii watasikia na kurejea tena kama enzi za JK. Hivi sasa watu wengi wanaisemea mabaya nchi yetu hasa wapinzani jambo linalopeleka -ve image kwa Watalii.

Ni vyema Serikali ifikie hatua iache kushupaza shingo na irejee katika maridhiano na wapinzani ili Taifa lirejee kuwa moja. Sijaona faida yoyote kwa mfano ya kumweka ndani Mbowe zaidi ya kukichafua na kuligawa Taifa!! Huenda hatulioni hili lkn viashiria mitaani vinaonesha kujengeka kwa chuki kuu miungoni mwa jamii hasa kutokana na suala la Mbowe! Madhara ya uamuzi wa Serikali kutunga kesi na kumtesa mtu ambaye tayari aliteswa na mwendazake hadi jamii nzima ikatambua siyo jambo jema hasa kwenye kipindi hiki kigumu cha mdororo wa Uchumi! Tuache siasa tuzingatie msuala ya msingi. Tanzania inazama kiuchumi kuliko tunavyoieleza!
 
Lissu ni wa kupuzwa. Ni mjinga tu asoejiewa. **** siku alosema tz inyimwe msaada ili raia tufe chadema iingie ikulu. Sikuelewa mpaka kesho.


Lete hiyo clip tuisikie kwa masikio yetu ndipo tuamini ama sivyo utashikwa UONGO.------ nasubiri hiyo clip.
 
Mkuu 'Jumbe', unataka kunithbitishia nini hapo na hayo maneno, mbona ni mepesi sana?

Moja ya sifa zake huyu mama inayojitokeza haraka sana, ni kwamba hana uwezo wa kujenga hoja katika hotuba zake na kuzifanya ziwe za kuvutia watu kusikiliza.

Chukulia mfano wa hayo maneno uliyoweka hapo, ni kitu gani hasa kinachovutia kusikiliza au kuyasoma hayo maneno. Yana uzito gani wa kumvutia msikilizaji/msomaji!
 
Back
Top Bottom