Rais mmoja tu ndo aliongoza nchi mwenyewe na ni John Pombe Joseph Magufuli, ila Samia ninahakika kuna stering anaemuongoza, JK ndo kabisa alikuwa na megegnge ya wafanyabiashara na mafisadi ao ndo waliongoza nchi. Mkapa kurudi huko nyuma sijui maana nikikuwa bado young boy sijui chochote
Vigano vya PAUKWA PAKAWA....
 
Mkuu endelea kujifurahisha nafsi yako(self fantasy)....🤣
Ni vyema kuwa umeelewa na umeamua kuishia hapa...

By the way, we are not fantasizing anything. Sisi tuna akili na kamwe siyo wanafiki...

Kama mambo ndani ya nchi yetu hayaendi inavyopaswa lazima tujaribu kufikiri na kutafuta chanzo na kisha sauti zipazwe kuokoa jahazi...

If you think people are just fantasizing kusema haya, basi you are absolutely wrong.

Hii kitu inaweza kudhihirika waziwazi na kishindo chake mpaka dunia itashangaa, kuwa; "....lol, kumbe na Tanzania haya yameweza kutokea...!!"

Kama miezi sita iliyopita mlishangaa taifa hili kufiwa na Rais aliye madarakani, basi msije mkashangaa kukafanyika mapinduzi ya serikali katika nchi hii hii muda si kitambo na kujikuta mnakula matapishi yenu tena kwa aibu...

Kama haya yanayosemwa yapo, tuyakemee si kwa ajili ya Rais Samia bali kwa ajili ya taifa letu zuri..

Aambiwe asimame katika nafasi yake. Abebe jukumu lake la Urais. Urais tuliompa siyo wa kutwa kupaka wanja na kuzurura zurura ovyo...!!
 
Ila nikijaribu ku connect dot fulani fulani tundu lissu yupo sahihi japo sio 100%
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..? Ni kama vile amefanywa mdoli na wajanja kuuchezea kwa kutumia "udhaifu wa mwanamke" ili wafanye mambo yao..!!

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Usimsikilize huyo Domo baya. Tundu Lissu anatumiwa na wajerumani kuivuruga Tanzania kama Rais Tseked wa DRC anavyotumiwa na hao hao wajerumani na wafaransa kuifanya Kongo kuwa weak ili makampuni ya kibepari yapate uwezo wa kuchuma mali za waafrika kwa bei ya kutupwa.

Toka lini waziri mkuu na waziri wa ulinzi wakaiongoza nchi wakati wao wenyewe wameteuliwa na Rais? Inaingia akilini hiyo?

Amka kijana na fungua macho usipende kusikiliza propaganda za vibaraka wa mabeberu. Yeye ndiye aliyewekwa hostname na mabeberu wa kijerumani huko ubelgiji.

Kama Lissu anabisha kuwa hayuko Begium kwa matakwa ya wajerumani jiulize kwanini kila mara anakwenda ujerumani kukutana na viongozi wa hiyo nchi? Asitufanye sisi kama watu tusio jua.

Ningemshauri Rais kuwa makini sana na wajerumani! Wajerumani wanasifika kwa "Hinterlistigkeit" (kwa kijerumani), yaani ni taifa linalo tumia ujanja kusababisha maafa kwenye mataifa mengine, lakini wenyewe wanabaki salama na hakuna mtu anawashukia kuwa wao ndiyo wano tenda maovu hayo. Kwa maneno mengine wanauma na kupuliza!

Ulimwengu wote unajua kuwa Lissu kuwa Belgium ni Camouflage tu ili watanzania tusiwashukie kuwa wajerumani ndiyo wanao husika na kumhifadhi Lissu huko Belgium kwa interest ambazo wanazo Tanzania.

Jiulize kwa nini Lissu alipoiacha nchi mwaka jana alisindikizwa na Balozi wa Ujerumani? Kutakuwa kuna kitu kinapikwa na wajerumani na sio bure ndugu yangu.

Msifikiri nyie ndiyo mnapendwa ki hivyo. Mnatumiwa tu ndugu zangu ili wao wapate wanachokitaka.

Watanzania kuweni macho ndugu zangu! Wazungu hawana interest ya kuwaendeleza nyie. Kwa lipi? Msiwe na illusion hizo.

Wazungu wanajua kuwa sisi ni race ambayo tukipata Power tuta dominate ulimwengu na race yao kufa. Hawawezi hata siku moja kutuacha sisi tujitutumue hivi hivi kirahisi. Watatumia kila njia kutuvuruga sisi na kutuchezea akili.

Wanataka kutukwamisha kwenye kila kitu. Walijaribu kwa wachina wameshindwa. Na wahindi nao wanakuja taratibu. Sisi ndiyo tuliobaki kuwa nyuma. Cha kustaajabu ni kwamba sisi tunapigwa pia na wachina na wahindi.

Waafrika lazima tujikwamue sisi wenyewe kiuchumi na kisiasa. Tukiwategemea wazungu tutaangamia!
 
Ni vyema kuwa umeelewa na umeamua kuishia hapa...

By the way, we are not fantasizing anything. Sisi tuna akili na kamwe siyo wanafiki...

Kama mambo ndani ya nchi yetu hayaendi inavyopaswa lazima tujaribu kufikiri na kutafuta chanzo na kisha sauti zipazwe kuokoa jahazi...

If you think people are just fantasizing kusema haya, basi you are absolutely wrong.

Hii kitu inaweza kudhihirika waziwazi na kishindo chake mpaka dunia itashangaa, kuwa; "....lol, kumbe na Tanzania haya yameweza kutokea...!!"

Kama miezi sita iliyopita mlishangaa taifa hili kufiwa na Rais aliye madarakani, basi msije mkashangaa kukafanyika mapinduzi ya serikali katika nchi hii hii muda si kitambo na kujikuta mnakula matapishi yenu tena kwa aibu...

Kama haya yanayosemwa yapo, tuyakemee si kwa ajili ya Rais Samia bali kwa ajili ya taifa letu zuri..

Aambiwe asimame katika nafasi yake. Abebe jukumu lake la Urais. Urais tuliompa siyo wa kutwa kupaka wanja na kuzurura zurura ovyo...!!
Mambo yanaenda poa kabisa, kila kitu kipo kwenye mstari, Watu wanafuraha sasa! Mambo hayaendi kwa waleta "Chokochoko" ambao walidhani Samia ni dhaifu, wakadhani pia eti nchi inaendeshwa kwa remote kutoka Msoga, Wakadhani kufa kwa JPM basi wao wataanza kufanya ujinga wao waliokuwa wanafanya kipindi cha JK, wakadhani wataendeleza siasa zao za kuleta taharuki ili wakavute hela kwa wafadhiri, kwa hao mambo hayaendi na hayataenda!! Samia hatofanya kazi kuwafurahisha wahuni wa UFIPA!! Vyombo vya ulinzi na usalama vitaendelea kudeal na wahuni wote, kazi aliyoianza JPM ya kuwashughulikia wahuni wa kisiasa wa TZ Samia anaendelea kuimalizia, na hamna chochote mtamfanya washamba nyie
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..? Ni kama vile amefanywa mdoli na wajanja kuuchezea kwa kutumia "udhaifu wa mwanamke" ili wafanye mambo yao..!!

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Naamini ni kweli asilimia 100%
Mienendo ya Mama sio kabisa. Siyo mienendo ya mtu Rais.
 
Kama mfuatiliaji wa historia ya Mashariki ya mbali korea ,china, japan .... Han Clan ilitawala sana maeneo hayo ... Lilitokea vugu vugu maeneo ya wakazi kusini mashariki ya south Korea taifa moja la Gaya likazaliwa na ndio lilokuja kuungana na kuishusha Baekje na sehemu ya Goryeo(Goguryeo) na kuunda taifa jipya lililo kuwa na nguvu la Shilla ... Hapa naunganisha tu Han - Gaya .. Na huyu chief Hangaya ataleta shida... (Kwa muda wako soma hiyo historia ya hizo dynaties Han, Gaya, Shilla, Goryeo, na Goguryeo). Ndio North na Msouth Korea wa leo .
Movie za kikorea hizi

Jamung katokea hapa sio?
 
Usimsikilize huyo Domo baya. Tundu Lissu anatumiwa na wajerumani kuivuruga Tanzania kama Rais Tseked wa DRC anavyotumiwa na hao hao wajerumani na wafaransa kuifanya Kongo kuwa weak ili makampuni ya kibepari yapate uwezo wa kuchuma mali za waafrika kwa bei ya kutupwa.

Toka lini waziri mkuu na waziri wa ulinzi wakaiongoza nchi wakati wao wenyewe wameteuliwa na Rais? Inaingia akilini hiyo?

Amka kijana na fungua macho usipende kusikiliza propaganda za vibaraka wa mabeberu. Yeye ndiye aliyewekwa hostname na mabeberu wa kijerumani huko ubelgiji.

Kama Lissu anabisha kuwa hayuko Begium kwa matakwa ya wajerumani jiulize kwanini kila mara anakwenda ujerumani kukutana na viongozi wa hiyo nchi? Asitufanye sisi kama watu tusio jua.

Ningemshauri Rais kuwa makini sana na wajerumani! Wajerumani wanasifika kwa "Hinterlistigkeit" (kwa kijerumani), yaani ni taifa linalo tumia ujanja kusababisha maafa kwenye mataifa mengine, lakini wenyewe wanabaki salama na hakuna mtu anawashukia kuwa wao ndiyo wano tenda maovu hayo. Kwa maneno mengine wanauma na kupuliza!

Ulimwengu wote unajua kuwa Lissu kuwa Belgium ni Camouflage tu ili watanzania tusiwashukie kuwa wajerumani ndiyo wanao husika na kumhifadhi Lissu huko Belgium kwa interest ambazo wanazo Tanzania.

Jiulize kwa nini Lissu alipoiacha nchi mwaka jana alisindikizwa na Balozi wa Ujerumani? Kutakuwa kuna kitu kinapikwa na wajerumani na sio bure ndugu yangu.

Msifikiri nyie ndiyo mnapendwa ki hivyo. Mnatumiwa tu ndugu zangu ili wao wapate wanachokitaka.

Watanzania kuweni macho ndugu zangu! Wazungu hawana interest ya kuwaendeleza nyie. Kwa lipi? Msiwe na illusion hizo.

Wazungu wanajua kuwa sisi ni race ambayo tukipata Power tuta dominate ulimwengu na race yao kufa. Hawawezi hata siku moja kutuacha sisi tujitutumue hivi hivi kirahisi. Watatumia kila njia kutuvuruga sisi na kutuchezea akili.

Wanataka kutukwamisha kwenye kila kitu. Walijaribu kwa wachina wameshindwa. Na wahindi nao wanakuja taratibu. Sisi ndiyo tuliobaki kuwa nyuma. Cha kustaajabu ni kwamba sisi tunapigwa pia na wachina na wahindi.

Waafrika lazima tujikwamue sisi wenyewe kiuchumi na kisiasa. Tukiwategemea wazungu tutaangamia!
Huzo hekaya za wazungu wazungu wazungu zimeshapitwa na wakati. Kajipange tena..Magaidi wao ndani ya ccm unasingizia wazungu😅😅
 
Hata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.

Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.
Yaweza kuwa kweli. Nafsi yangu haijawahi kumuona Majaleo kama binadamu wa kawida.
 
VIJANA WAMEMZOEA JPM NA ZIARA ZAKE ZA NDANI HUYU AKIWA AMETULIA WANAFIKIRI KATEKWA JE KIPINDI CHA KIKWETE
 
Taarifa za "taabu ya Magufuli" hadi kifo chake zilikuwa zinachagizwa na Tundu Lissu zaidi...

Mlimwita mwehu, mnywa viroba lakini mwisho wa siku wanywa viroba halisi wakadhihirika ukiwemo wewe @baruayamoto
Kila wanalopanga linabuma. Lissu kuepuka kile kifo ni pigo kubwa sana kwa Mahasimu wake.
 
Umesema hana maana, na ni “debe tupu.”

Tundu Lissu aliwauliza watu wake ndani ya utawala, nampataje Rais?

Wakampa namba, akapiga, ikapokelewa, akaambiwa nyakati hizi Rais anapokea madaraka, tutakutafuta mkuu.

Katibu wa Rais Suluhu akarudisha simu Ujerumani, Rais pembeni ya simu, wanamtafuta Tundu Lissu. Huyo unamwitaje debe tupu ?

Mpinzani Kambona akiwa Uingereza miaka 30 hakuwahi kupigiwa simu na Nyerere. He couldn’t shake up Nyerere’s regime.

When Tundu Lissu speaks the Tanzanian regime pays attention.
Utajua hujui...This is Tanzania maaaan!
 
Back
Top Bottom