Line yangu ya tigo imekata mawasiliano jana mida ya saa tano hivi, nimeuliza watu kama watatu hivi naambiwa hiyo inatokea mara kwa mara kwa mtandao wa tigo na wamenishauri nika tengeneze line mpya, Wakuu vipi limesha wapata hili?
Ndiyo zina expire date, lakini kama ulikua unatumia na kuweka voucher kila mara basi muda unaongezeka wa kuexpire.
Nenda office za TIGO wakuangalizie tatizo nini. Yangu mara ya mwisho nilikua siwezi check salio wala kupiga, nilivyo enda ofisini kwao waka reactivate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.